Babu lockup? du! kama nakuona vile.................... uliwekwa na bibi, au? welcome back, tulikumiss pia
We acha tu FP,
Bibi ni kibogoyo sasa..nyama hali tena..anashangaa shangaa dotcom wanavyochakachuana...Ni masahibu tu ya hapa duniani ndo yalinisibu ila kila kitu ni mswano sasa!
MIJITU mingine bana......ukiwamiss si uwaandikie PM bana.....ngrrr wajaza server kwa post za kikudaBandungu wapendwa,
Nimewamiss sana ndugu zangu nyooote wa JF...
Babu yenu nilipigwa lokapu kwa karibia wiki nzima. Ni ngumu kueleza yaliyonikuta ila jueni tu kuwa niko mzima!
Hebu nambieni jamani...nani kawaona wajukuu zangu akina Maty, Musinga, Smile; Teamo na Rose hao nimeshawamuona.
Na hawa je?....Nyamaya,Asprin, PJ, Askofu, Rev. Masa, Bht, JS, MJ1, FL1, Baba_Enock, Invisible, Finest, etc,
Tafadhali wambie wote kuwa nawakumbuka sana na pia nawapenda sana.
Mungu awabariki sana, muwe na week end njema tena ya mavuno ya kutosha,
Babu DC (1947,
yote mema babu, tunashukuru tu umerudi salama maana hawa madotikomu ungeweza ukaishia huko huko.
MIJITU mingine bana......ukiwamiss si uwaandikie PM bana.....ngrrr wajaza server kwa post za kikuda
Hiyo imebaki ni historia FP,
Kama mvua na radi hakuna ambayo hatujaona...kwa hiyo tuwaachie sasa wenye nji yao wachakachuane...
Najua Finest atakuwa anafurahi sana tunapowambia waendelee bila kujali kuwa tunahimiza wakumbuke kuvaa helmet kila wanapopanda bodaboda na hata tukutuku!
MIJITU mingine bana......ukiwamiss si uwaandikie PM bana.....ngrrr wajaza server kwa post za kikuda
mh kazi kwey kwey,msamehe kaka,si kila siku ni jumatatu,hujui kaamkaje!!!Duuuuuuuuuuuuuuuuuu,
Of all the people mshikaji wangu (YOYO) ndo umeamua kutoka namna hiyo???
Sasa PM ya wana JF wote unaitumaje?
Ukimegwa huwaga unatulia na kuandika sense kidogo....kudos Kanumba
mh kazi kwey kwey,msamehe kaka,si kila siku ni jumatatu,hujui kaamkaje!!!
MIJITU mingine bana......ukiwamiss si uwaandikie PM bana.....ngrrr wajaza server kwa post za kikuda
DC..DC..DC...najisika furaha ya ajabu kukuona tena jamvini......kutokuwepo kwako niliku-feel kwa sana....karibu sana na pole kwa masahibu yaliyokukumba........a kiss for you DC.....:A S kiss:
OP, hakuna haja ya kufikia hatua hiyo. Tuko wengi hume JF na tunatofautiana sana. Just take it easy vinginevyo unaweza kupasua screen yako kwa hasira ukaishia hasara.
Duuuuuuuuuuuu, ni wewe JS,
Hope uko mzima na Mnganda umemalizana naye salama bila haja ya kuwepo casuality (either way)!
I really missed this house and all the great buddies.
Have a wonderful "Thanks giving day"!!!!
Usiwe na shaka huyo ni mtani wa jadi na hakuna hasira wala nini. Ni kwamba tu bado ana kinyongo baada kuzidiwa kete katika hekaheka za kufukuzia totoz moja ya Kisukuma.
Happy Thanksgiving day too DC.....
ile ya Mganda ile bado nakomaa naye tu hapa...long story
Lakini am still holding on to my principles DC..still holding on...
wewe ndio ulisema ulimshikia kanumba mic......namega not otherwiseUkimegwa huwaga unatulia na kuandika sense kidogo....kudos Kanumba
Duuuuuuuuuuuuuuuuuu,
Of all the people mshikaji wangu (YOYO) ndo umeamua kutoka namna hiyo???
Sasa PM ya wana JF wote unaitumaje?
wewe ndio ulisema ulimshikia kanumba mic......namega not otherwise