Natumaini hamjambo wote ...
Kila kukicha majukumu yanaongezeka na ndiyo maana nimekaa kipindi kirefu sionekani hapa sebureni ... nimewamiss sana marafiki zangu wa JF lakini kikubwa zaidi ni kwamba muda mwingi nautumia kwenye shughuli za ujasiriamali (kilimo na ufugaji) - hivyo baada ya kazi nachoka sana - siji kuwapa hi ... leo niko free ...
HAMJAMBO WAPENDWA WANGU?
Anhaa...Hata sisi tulikumiss, Nahuja anajua kuwa umerudi?
Hubby huyu ni kaka mtoto wa mjombaAnhaa...
Ukimaanisha ni binamu yako, sio?Hubby huyu ni kaka mtoto wa mjomba