Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah Sweetlad.....we acha tu!!, nilikuwa ndani nadani huko kwa wandendeule......mipakani kabisa yaani, we acha tu!!
![]()
Thanx...chukua zawadi yako hii.....
![]()
Hahaaaa...umen'chekesha sana!! Haya bana!! Huko ni maharage na miwa tu...kwa kina mpoto!!
:flypig:kazurije sasa :flypig:Kumbe wapendwa na nyie m-linimiss hivyo?? Haya..tanx sama Miss CUTE!!
![]()