Nimewamiss....

Sikuamini nilichokisoma hata salamu imekakauka mdomoni..Moyo wangu nahisi kama vile umemwagiwa maji baridi


Khaaaa !! jamani yamekuwa hayo tena???.....kwa hiyo nilete maji ya moto nikumwagie au?
 
Khaaaa !! jamani yamekuwa hayo tena???.....kwa hiyo nilete maji ya moto nikumwagie au?

Hadi hapa tayari umeshanimwagia maji ya moto sweetylady, nakupenda sana sweetylady hata kama kuna mtu amakuchukua
 
hello Sizinga na nitonye

nimewamiss sana, karibuni.

Ila Nitty, mfunze mkeo kutulia, anarukia mabwana za watu.
Kamganda Bishanga hadi kamsahau mama wa TRA.
 
Last edited by a moderator:
Hadi hapa tayari umeshanimwagia maji ya moto sweetylady, nakupenda sana sweetylady hata kama kuna mtu amakuchukua


Hehehehehe ! Hapo red lovely husband Vin Diesel akisoma atachukia ....kama unaweza delete fasta!
 
Last edited by a moderator:
Do it ASAP Asprin ......huyu kama vipi tumnyang'anye hicho cheo lol!:israel:
Yeah niko kwa mchakato. Kaizer hawezi kukidhalilisha chama namna hii. Kikao pia kitajadili imekuwaje sweetlady ukawa na moyo wa kikatili namna hii mpaka unamwaga vidume kama nitonye kwa staili hii......

Hadi hapa tayari umeshanimwagia maji ya moto sweetylady, nakupenda sana sweetylady hata kama kuna mtu amakuchukua

Hehehehehe ! Hapo red lovely husband Vin Diesel akisoma atachukia ....kama unaweza delete fasta!

Good night

Good night too !
 
Last edited by a moderator:
mama kadogoo upo?? mi na we tunadhuriana kweli?? hilo busu lilikuwa special kwa aliyetumiss kha!


Ila sheria za jf si zinakataza mabusu ya hadharani?????.....hujambo mama wa ubatizo!.....Kadogoo anakusalimia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…