Nimewapa ushauri shemeji na dada wasipofuata shauri yao wenyewe, mimi nimejivua

Nimewapa ushauri shemeji na dada wasipofuata shauri yao wenyewe, mimi nimejivua

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Jana wamerudi wamelewa. Na dada anamfokea shemeji kama mtoto. Nikajiwa na busara kuwa hapa nisipokuwa makini tunaweza siku moja fukuzwa shemeji akichoka kiburi cha sister.

Basi nikamtuma hausigel awaite. Baada ya saa moja wakaja.(walinikwaza sana yaani saa moja kutoka tu room kuja sebuleni) maana nliwaambia kama hawawezi kuja basi niwafuate.

Wakaja wakakaa nikaanza kuwaambia kwa kweli mimi sioni vyema na sijaridhika wao kuwa na vitoto viwili tu mpaka muda huo. Nikawaambia wafanye juhudi waniongezee uncle mwingine. Nami niwe najisikia fresh napowapeleka shule watoto wao.

Huwezi amini sister alinisonya akaamka akaondoka. Nikamwambia shem unaona?ndo madhara haya ya kutompa tena mimba nyingine. Mtie mimba aaache dharau. Na kweli sister asipokuwa na mimba mkorofi sana. Huwa ananikera anavyomfanyia shem.

Nawaza na umri wangu huu wa wastani miaka 37 nipate mke kama yeye si nitamuwuwa?na nilivyo na misimamo mimi? Wanawake kama hawa ili wakuheshimu ni mimba bandika bandua. Mpaka achoke kabisa.

Sasa shem anamlea lea sana sister vitoto viwili kama macho...je kikifa kimoja?au vyote?ndo waanze tena kitafuta. Lewo nimemuka nikawa namsubiria sister nimwambie jana alinikosea sana mimi nimemzidi miaka 10. Ananisonya mbele ya mume wake? Ambaye nimemzidi miaka 3? Hawa watu wanaanza kujisahau sana.

Sister anasahau mzee atakapokufa mimi ndo nitashikilia mali zote za familia. Anasahau kabisa. Ila nitamwonesha kitu. Ye anaweza jiona amemaliza...kumbe safari bado sana. Sikulala usiku kucha nikawa nawaza au nitoroke usiku ule. Au nikunywe sumu niandike barua kuwa sister ndo anajua sababu yangu ya kifo?wamsumbue.

Yaani ananisonya mimi?hajanijua vizuri. Hajanijua. Naweza mfanyia kitu akajuta. Naweza kunywa sumu niandike barua au meseji kuwa yeye anahusika. Halafu hapo ndo nimwone atakavyohangaika na kuhangaishwa na polisi. Shem anashindwaje kumthibiti mkewe?

Wanawake wa siku hizi....ndo maana nikiwaza...nasema ivi kweli mimi nitawowa? Na nilivyo na hasira na misimamo sijui kwa kweli...sijui.

Tuyaache tu kama yalivyo.
 
Yani ukitaka shemeji asikufukuzeni na wewe uwe na kauli zaidi hapo nyumbani, chukua rasmi nafasi ya dada. Ambacho hutoweza mtimizia ni kumzalia tu sababu za kibaolojia ila tofauti na hapo unaweza kuwa mke mtiifu kabisa kwa shemeji yako.

Hatua za awali za kuwa mke wa shemeji yako ushazivuka, maana unakaa kwake, unakula kwake kilichobaki ni kuhamia chumbani kwake rasmi tu. Na hili litamkata jeuri dada yako pia.
 
Jana wamerudi wamelewa. Na dada anamfokea shemeji kama mtoto. Nikajiwa na busara kuwa hapa nisipokuwa makini tunaweza siku moja fukuzwa shemeji akichoka kiburi cha sister.

Basi nikamtuma hausigel awaite. Baada ya saa moja wakaja.(walinikwaza sana yaani saa moja kutoka tu room kuja sebuleni)
Hata kama bangi imeruhusiwa lakini vyema mtu aivute mida ya jioni au usiku lakini buana sio asubuhi tuheshimu kazi za watu.
 
Jana wamerudi wamelewa. Na dada anamfokea shemeji kama mtoto. Nikajiwa na busara kuwa hapa nisipokuwa makini tunaweza siku moja fukuzwa shemeji akichoka kiburi cha sister.

Basi nikamtuma hausigel awaite. Baada ya saa moja wakaja.(walinikwaza sana yaani saa moja kutoka tu room kuja sebuleni) maana nliwaambia kama hawawezi kuja basi niwafuate.

Wakaja wakakaa nikaanza kuwaambia kwa kweli mimi sioni vyema na sijaridhika wao kuwa na vitoto viwili tu mpaka muda huo. Nikawaambia wafanye juhudi waniongezee uncle mwingine. Nami niwe najisikia fresh napowapeleka shule watoto wao.

Huwezi amini sister alinisonya akaamka akaondoka. Nikamwambia shem unaona?ndo madhara haya ya kutompa tena mimba nyingine. Mtie mimba aaache dharau. Na kweli sister asipokuwa na mimba mkorofi sana. Huwa ananikera anavyomfanyia shem.

Nawaza na umri wangu huu wa wastani miaka 37 nipate mke kama yeye si nitamuwuwa?na nilivyo na misimamo mimi? Wanawake kama hawa ili wakuheshimu ni mimba bandika bandua. Mpaka achoke kabisa.

Sasa shem anamlea lea sana sister vitoto viwili kama macho...je kikifa kimoja?au vyote?ndo waanze tena kitafuta. Lewo nimemuka nikawa namsubiria sister nimwambie jana alinikosea sana mimi nimemzidi miaka 10. Ananisonya mbele ya mume wake? Ambaye nimemzidi miaka 3? Hawa watu wanaanza kujisahau sana.

Sister anasahau mzee atakapokufa mimi ndo nitashikilia mali zote za familia. Anasahau kabisa. Ila nitamwonesha kitu. Ye anaweza jiona amemaliza...kumbe safari bado sana. Sikulala usiku kucha nikawa nawaza au nitoroke usiku ule. Au nikunywe sumu niandike barua kuwa sister ndo anajua sababu yangu ya kifo?wamsumbue.

Yaani ananisonya mimi?hajanijua vizuri. Hajanijua. Naweza mfanyia kitu akajuta. Naweza kunywa sumu niandike barua au meseji kuwa yeye anahusika. Halafu hapo ndo nimwone atakavyohangaika na kuhangaishwa na polisi. Shem anashindwaje kumthibiti mkewe?

Wanawake wa siku hizi....ndo maana nikiwaza...nasema ivi kweli mimi nitawowa? Na nilivyo na hasira na misimamo sijui kwa kweli...sijui.

Tuyaache tu kama yalivyo.
Bado tu haujanywa sumu?Shemeji una vibweka sana.Unamshauri "faza-house" kuhusu kubuguia "u-house wa sisiteri"?😂😂😂😂😂
 
Tangawizi imekaa bomba sana
JamiiForums561838404.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana wamerudi wamelewa. Na dada anamfokea shemeji kama mtoto. Nikajiwa na busara kuwa hapa nisipokuwa makini tunaweza siku moja fukuzwa shemeji akichoka kiburi cha sister.

Basi nikamtuma hausigel awaite. Baada ya saa moja wakaja.(walinikwaza sana yaani saa moja kutoka tu room kuja sebuleni) maana nliwaambia kama hawawezi kuja basi niwafuate.

Wakaja wakakaa nikaanza kuwaambia kwa kweli mimi sioni vyema na sijaridhika wao kuwa na vitoto viwili tu mpaka muda huo. Nikawaambia wafanye juhudi waniongezee uncle mwingine. Nami niwe najisikia fresh napowapeleka shule watoto wao.

Huwezi amini sister alinisonya akaamka akaondoka. Nikamwambia shem unaona?ndo madhara haya ya kutompa tena mimba nyingine. Mtie mimba aaache dharau. Na kweli sister asipokuwa na mimba mkorofi sana. Huwa ananikera anavyomfanyia shem.

Nawaza na umri wangu huu wa wastani miaka 37 nipate mke kama yeye si nitamuwuwa?na nilivyo na misimamo mimi? Wanawake kama hawa ili wakuheshimu ni mimba bandika bandua. Mpaka achoke kabisa.

Sasa shem anamlea lea sana sister vitoto viwili kama macho...je kikifa kimoja?au vyote?ndo waanze tena kitafuta. Lewo nimemuka nikawa namsubiria sister nimwambie jana alinikosea sana mimi nimemzidi miaka 10. Ananisonya mbele ya mume wake? Ambaye nimemzidi miaka 3? Hawa watu wanaanza kujisahau sana.

Sister anasahau mzee atakapokufa mimi ndo nitashikilia mali zote za familia. Anasahau kabisa. Ila nitamwonesha kitu. Ye anaweza jiona amemaliza...kumbe safari bado sana. Sikulala usiku kucha nikawa nawaza au nitoroke usiku ule. Au nikunywe sumu niandike barua kuwa sister ndo anajua sababu yangu ya kifo?wamsumbue.

Yaani ananisonya mimi?hajanijua vizuri. Hajanijua. Naweza mfanyia kitu akajuta. Naweza kunywa sumu niandike barua au meseji kuwa yeye anahusika. Halafu hapo ndo nimwone atakavyohangaika na kuhangaishwa na polisi. Shem anashindwaje kumthibiti mkewe?

Wanawake wa siku hizi....ndo maana nikiwaza...nasema ivi kweli mimi nitawowa? Na nilivyo na hasira na misimamo sijui kwa kweli...sijui.

Tuyaache tu kama yalivyo.
No fasihi au mimi ndo sijaelewa?
 
Lengo lako utukanwe watu waharibu siku yao,ushamaliza kumuandalia chai shemeji yako kwanza
 
Dah Kuna mashemeji wanavisimati asee!!
 
Back
Top Bottom