Nimewapa ushauri shemeji na dada wasipofuata shauri yao wenyewe, mimi nimejivua

Tembea na shemeji tako mchezo umeisha
 
Miaka 37 unalishwa na shemejio still unangojea urithi. Kazi kubwa unayofanya ni kumhamisisha sister ako adinywe ulee maanko.
 
Andrew Nyerere, umeibukia huku!!!!
 
Kwa hio unaishi kwa shemeji unataka usikilizie mpaka akimpiga mashine sister ako
 
Mtu mzma ila akil za ktoto[emoji23]
 
Bwana mpwayungu ni zile hasira ndo ukasema bora ufe uliwe na wanyama kabla sio
 
Mkuu pole.. lakini utaonaje anavyohangaishwa wakat utakuwa umekufa?? nasubiri mwongozo..
 
We nae na huyo shemeji yako hueleweki, kwenye ule uzi mwingine shemeji aliomtomasa dada mbele yako yako ulikuwa una miaka 42,Leo una 37 jamanii 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii chai hamna sukar ata viungo kuna majani tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…