Nimewota Usiku

Hongera sana mkuu, umeweza kuniondolea uchovu wote kwa kunipa furaha. Hii ni aina ya ucheshi yenye utofauti.
 
Tuanze kwenye ku quote
Kama unatumia jf ya application na unataka kumjibu mtu bofya sehemu iliyoandikwa QUOTE

Na kama ni kwa web bofya sehemu iliyoandikwa REPLY

Natumai unajua kusoma mpendwa
My jitahidi ili ajue, inaonekana ana tatizo sana la kiswahili
 
nyegezi niriwahi kupita wakanti tunahenda sengelema kwa bibi yake mujomba wagu wa itaria
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
huyu.mjmaaa bhangi sanaaa
since jana anachafua na nyuzi zake
naona kaja na kiki yake mpyaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…