Ukaridayo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 515
- 476
Mpaka naandika uzi huu nimeacha fan langu ndani likipuliza hewa ya ukaa,,, Moto si mchezo nje jua la utosi ndani kaa la moto... Jumapili ya leo kwangu imekuwa ya tofauti sana kwamaana imenilazimu nibarizi kwa kukaa nje angalau nipate afueni...
Mbaya zaidi huku kwetu minazi ndiyo mingi sana na kinachonipa shida na wasiwasi ni hatari ya kukaa chini ya minazi, mana kama hukukoswa na kuti basi nazi..
Bado upo umuhimu wa kuhimizana kuhusu upandaji miti na hasa ya kivuli..
Mbaya zaidi huku kwetu minazi ndiyo mingi sana na kinachonipa shida na wasiwasi ni hatari ya kukaa chini ya minazi, mana kama hukukoswa na kuti basi nazi..
Bado upo umuhimu wa kuhimizana kuhusu upandaji miti na hasa ya kivuli..