Nimeyatimba

Gentleman 446

Senior Member
Joined
Mar 26, 2021
Posts
112
Reaction score
407
Wataalamu wa maswala ya afya njooni mnipe maujuzi apa...

Leo ni siku ya 14 tokea nimeyatimba nilijichanganya kwa malaya mmoja mwezi uliopita katika harakati za mtu mweusi kujipatia utamu condom ilipasuka katikati ya tendo, nilipohisi utofauti haraka sana nikakatisha zoezi na kuwahi kujisafisha

Ukweli ni kwamba amani iliondoka kabisa asubuhi sana nikawahi kuchukua LA75 PEP nimetumia kwa siku 14 na ninatakiwa nitumie siku 28 tatizo ni kwamba najisikia uvivu kwenda kumalizia izo 14 zilizobaki, vipi wataalamu nikiishia hapa kuna tatizo?
 
Tulia uvune ulichopanda, kila kukicha mnaona wenzenu humu wakileta majuto yao na bado hamjifunzi tu
 
Ukikutwa + ndo utajua umhimu wa kutumia dose kamili.

Mrudie Mungu wako utaepuka mengi.
Tuache kutishana jamani. Yaami condom ipasuke tu tayari ushaupata!!!? Basi katika watu 10, 9 wana VVU.
Wataalumu wa afya humu ndani wapo lakini ushauri wao unaona kabisa ni wakukatisha watu tamaa kabisa as if wengine wana abc kuhusu vvu na ukimwi kwa ujumla.
Kupata vvu ni mpaka wewe uwe na michubuko kwenye uume ambapo yale majimaji ya ukeni yakikutana na mchubuko hapo taa nyekundu lazma iwake other wise hakuna maambukizj
 
Ingekuwa hivyo wengi tungeshaukwaa kitambo sana!
 
Vp mkuu La75 zilikusaidia?....nipo kwenye case kama yako
 
Vp mkuu La75 zilikusaidia?....nipo kwenye case kama yako
Iyo dawa inaonekana inasaidia san mm nmebakiza vidonge 2 toka nianze kumeza nlikutana na bint anatumia dawa za HIV na hakuniambia, nkapig ila dakik 2 tu au 1 na nusu maan nlikua nawah job ko kesh yake nkaambiwa ikabid nipande bugando kwenda kuchukua izo daw, af nikapimwa ko nkaanza mpak leo zmebak vdonge viwil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…