nimezaa na shemeji yangu

Huyo mumeo analijuwa hilo na ndio maana akakuletea mdogo wake uzae nae.

Najiuliza, kama mbegu zake hazina rutuba, ni vipi mkewe wa kiarabu awe na watoto sita? au wote si wake?

Duniani kuna mambo!
nikifikiria hili ndio nazidi kumuonea huruma mwarabu wa watu,
 
hii story itakuwa ya kweli ,kwasababu profesa kaisi kweli namjua anahusika na magonjwa ya kina mama ikiwemo infertility but ofcoursev saiv amestafu.

kumjua dokta sio kigezo. Mbona hata mimi naweza nikaunga unga habari nikakupachikia na jina kubwa ili niipe uzito habari yangu.
Toa ushauri lakini.
 
possible una pschiatric problem and for sure you need to end this once and 4all na hivyo ulivyoanza kufeel remorse.
duh!but you seems.............................................
 
Majimshindo na uporoto mmesahau kuwa kuna watu huwa wanapata matatizo yanayopelekea ashindwe kuzaa.
Inawezekana hao watoto aliwapata kabla tatizo halijamkumba.
Mara nyingi kama ulishawahi kuzalisha tatizo linaloweza kukupata linaweza kuwa la kudinda tu na kwasababu mbegu zako ni salama mkeo anaweza pandikizwa na akazaa.Kuna wanaume anatoa shahawa lakini hazina sperms kwahiyo hawezi zalisha,kuna wengine sperms zao hazina nguvu wanapewa dawa na anazalisha.
Ni nadra sana mwanaume aliewahi kuzalisha mbegu zake zife kabisa.
 
Hivi huyu Kinu anajaje kama watoto siyo wa mume halali. Kutembea na shemeji siyo uthibitisho kwamba yeye ndo katia mimba. Sometimes this business is psychological. Wakapime DNA kwanza, vinginevyo inawezekana hawa wanakulana ngono hivyo mama anapata tiba ya kisaikolojia kisha mimba ya mumewe inaingia
 
mimi namwonea huruma tu mme wake otherwise ningemtafuta huyu mwanamke nimpe mapacha, lol. Inaonekana anapenda sana kudinywa

Kudinywa! teh!teh!teh!
 
We endelea kupanda tu, utavuna yatakapo komaa, na ndio utajua kwa kuyahifadhi...
 


Yaani wewe hujashtuka tu kuwa kaka mtu anajua kinachoendelea? na hata kumleta ukae nae huyo dogo na yeye kwenda uarabuni kwa muda ilikuwa ni mpango mahususi ili mdogo mtu akuzalishe...............inavyoonekana hata wale watoto 6 wa bi mkubwa mimba alizitundika huyohuyo bwana mdogo..........wewe tulia tu, ili mradi umeshakubali kutumika kama mashine ya kuzalisha watoto ili ufaidi mali za huyo bwana basi endelea tu kuzaa na huyo dogo mpaka wafike 6 kama kwa bi mkubwa.

Ukipanda kisamvu utavuna kisamvu!
 
Sasa kwanza umeshazaa au bado una mimba??maana hapo bado sijaelewa vizuri,pia umeshazaa na mdogo na wewe ndio uliomba kutiwa mimba sasa unataka ushauri wa sisi tukuambie kwamba umwambie mmeo au tukae kimya??
 
Kinu,

Huna sababu ya kuwa na wasi wasi. Hao ndugu wanajua kinachoendelea na inawezekana waliafanya njama kuhakikisha hupati msongo wa mawazo na kutafuta wanaume wa nje wakuzalishe.

Wewe tulia ulee watoto. Kitanda hakizai haramu na kwa vile mumeo anawapenda watoto wa mdogo wake usiwe na shaka. Utaenda kuungama kwa Mungu kama hiyo nafasi utaipata.
 
mmmh,hakuna aliekamilika,ila inataka moyo kwa ulioyafanya.kama yeye anajua sperm zake hazina nguvu tena,huwa hakuulizi kuhusu ujauzito?,maana hainiingii akilini.au na yeye anajua kinachoendelea wewe na shemeji yako ila na yeye kaamua kukaa kimya?
 
Yaani umekaa naye miaka 20, sijui alikuoa una miaka mingapi? na bado unaita mmmm, huyu shemeji yako naye hamna kitu kichwani, mna pepo nyinyi
 
Kabla haujamwambia hakikisha unapakwenda kuishi na wanao na pia ujue mdogo wake ataoa mke wake na sio wa kuibia

Na ukifukuzwa as za mwizi arobaini wote watakuacha na huyo mdogo atakupa picha mbaya

Ila umeingilia ndoa ya watu si ungemuomba mungu msamaha as baba huyo ana mke wake na labda kakufanyizia... Wanawake mkome kuingilia ndoa za watu labda hata yeye kakuoa ili umsaidie raha akiwa Tanzania.

Sasa umeolewa nae sababu ya pesa anza kujijenga kwenu usije rudi kwenye umasikini mwanamke weye. Mwanamke umejishushia heshima na sasa unamimba ingine mmh unalo anza kuiba pesa jiwekee pembeni

Shemeji yako sio wako usisahau hilo
 

Nawarabu bwana kwa kuzibua mifereji mh sijui kama alisalimika.
 
Kazi ya kinu ni kutwangiwa, sasa subiri utatwangwa mpaka na babamkwe kudadeki. Afu wewe sio NOT Mnafu kweli, ulieaga juzijuzi hum jamvini umerudi na Id mpya nini? manaake post za kivilevile haya bwana angalia kama ni wewe usijeaga tena, gawa kama pipi kwafamilia yote. SHAME ON U. Ptuuuuuuuuuuu!
 
Hii hadithi ya kwenye magazeti ya globalpublisherz. Mwandishi mwenyewe toka mwanzo analazimisha tuamini kwamba ni ukweli why? Kama siyo mapishi haya! Anyway napita tu:hand:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…