nimezaa na shemeji yangu

There is no way zaidi ya hapo.....! Lakini je, ikitokea akamuua mdogoye? Utatubu wapi tena? Au huyo mwarabu alikuwa akijaribu kukutia mimba kupitia tiGO? Nina wasiwasi na hilo....! Vinginevyo, kuna dispensary moja iko Nairobi (Kenya), ambayo hupandikiza watoto; kaulizie iko mtaa upi....! Huyo mke mwenzio yeye ankufahamu? Yeye alipataje watoto? Mumeo analifahamu tatizo lake? Shame on you....!
That is why; With exception of God, I trust nobody, and I can't....! Only fools (but not even all) may do so....!
 

Another story huoni aibu we mwanamke?? Unasema kabisa unataka mtoto wa watatu?? Aikili yako naona sio sawa kabisa wewe. Na hiyo rangi uliyotuwekea inatuumiza tu kichwa
 
hii ni habari ya kweli labisa na jamaa zangu nawaomba msinihukumu sana haya mambo yanatokea tu,mimi ninataka mtoto ningefanyaje sasa
 
hii ni habari ya kweli labisa na jamaa zangu nawaomba msinihukumu sana haya mambo yanatokea tu,mimi ninataka mtoto ningefanyaje sasa

Unajiabisha wewe mwanamke hebu acha kututia aibu hapa allaaahhhh

Hujafundwa wewe???
 
hii ni habari ya kweli labisa na jamaa zangu nawaomba msinihukumu sana haya mambo yanatokea tu,mimi ninataka mtoto ningefanyaje sasa
Ndio maana mnafananishwa na vyombo vya kulia chakula au viti vya daladala (isipokuwa cha dereva).....!
 
sawa mnayeniita mimi shetani ok lakini nasema kuwa huo ndio ukweli kwani mme wangu alikuwa hanizalishi na tokea nimezaa hajanikasirikia sasa sijui kama anajua au la na sasa na mimba na inaonekana wazi tu na huyu shemeji yangu kwa sasa anafundisha huko marekani na aliwahi kunialika nikaenda huko mwezi mzima na nilifikia chumbani kwake kwa mwezi mzima.Kweli kabisa nampenda sana mme wangu na huyu shemeji yangu namheshimu sana na tukiwa wawili namwita baba watoto wangu naye anaitika kabisa,ila wifi zangu hawanishemeshi kabisa kwani wanajua kuwa natembea nje ya ndoa ila wanashangaa mtoto ni mwarabu.Sasa nimeongea na mama zangu wote wamenishauri nimwambie mme wangu kuwa nimezaa na mdogo wake asije akadhani kuwa nimetoka nje ya uko p basi nami nimekubali leo nimemwambia mme wangu nataka kusema nae mambo ya muhimu usiku,naenda kumpasukia kila kitu ila shemeji sijasema nae
 

Unaanza kutoa makucha sasa!!

-18yrs at work
 

hapana mme wangu wala kunitamkia tigo hajawahi na hata shemeji yangu tigo hajawahi,ndio mke mwenzangu anajua kuwa mie ni mke mwenzie,kuhusu hospitali prof kaisi alitupeleka ujerumani lakini hakuna mafanikio,hii ilinifanya nilale na shemeji yangu
 
hapana mme wangu wala kunitamkia tigo hajawahi na hata shemeji yangu tigo hajawahi,ndio mke mwenzangu anajua kuwa mie ni mke mwenzie,kuhusu hospitali prof kaisi alitupeleka ujerumani lakini hakuna mafanikio,hii ilinifanya nilale na shemeji yangu

Wewe unabahati Kwaresma imeanza vinginevyo leo ningepigwa BAN kwa hii post yako ya kijinga na ya kipumbavu kabisa hebu toa ujinga wako hapa alllaaaahhh
 


Hebu angalia hapo juu kwenye bold... ukiwa muongo jitahidi kukumbuka unaandika nini!! Umetengeneza hadithi ili kufurahisha JF....POLE
 
Huna haja ya kupoteza muda kumwambia mmeo. Yeye anajua kila kitu na ndiye masterminder wa mimba zako mbili. Huyo mwarabu ni wale ambao wana mali hawana watoto. Wewe endelea kula nchi na Shemejio maana ipo RHUKSA kutoka kwa mwarabu. Ama kweli dunia kuna mambo.
 

uje na feedback Kinu:rain:
 
Kiukweli huyo Mwarabu alijua tatizo lake na najaribu kulinda heshima asijulikane anagalia asije kuwa Bwabwa.mfanyie utafiti.
 
kama uko tayari kuwajibika kwa uovu wako,anza kumwambia shemejio then....mwambie mumeo!!!......hii hadithi nimeipenda sana....ime balance upumbavu na udhaifu wa pande zote mbili.....wanaume na wanawake....tuletee hadithi nyingine Kinu!!!
 
Hii sredi inapaswa kuchangiwa na jinsia iliyokuwa na siku yake ya kimataifa hapo juzi.

Sisi wenye siku 364 kwa mwaka hatutakiwi hapa!
 
babu mbona umekuwa muoga gafla wale wetu sijachakachua ni wako kabisa huoni masikio walivofanana na yule babu mzaa bibi yako haahaaaaaaaaaaaa


Hii sredi inapaswa kuchangiwa na jinsia iliyokuwa na siku yake ya kimataifa hapo juzi.

Sisi wenye siku 364 kwa mwaka hatutakiwi hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…