Nimezamilia kutoka please ushauri unahitajika

Nimezamilia kutoka please ushauri unahitajika

doppla2

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
1,363
Reaction score
1,431
naishi moshi mjini na nimeajiliwa kwa mhindi mmoja, kwa sasa nina miaka 3 nkimsaidia kutunza stoo yake vifaa vya ujenzi. sasa nmejichanga kwa mda wote huu na sasa nimepata tsh milioni 5. mimi nimefikiria ninunue gari aina ya markII niifanye tax. sasa naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya tax kwani sina uzoefu nayo. pia kama una uzoefu wa biashara kwa mtaji huo nifungue biashara gani lengo nipate faida ya tsh 20000 kwa sku.
 
  • Thanks
Reactions: BIR
Mi ni Dereva Nakushauri nunua suzuki ndogo ambazo utaikodisha /kutumia kwa siku unaweza kupata zaudi ya hiyo hela!! Nime Ku PM kwa maelezo zaidi!!
 
Back
Top Bottom