Weye kazi unayo. Muda wa kulazimishwa ukifika utajuta. Nenda kajieleze kwamba umetumia. OK?
​Mie ni mteja wa BANK moja hapa mjini, mwaka jana jamaa yangu alinilipa pesa kwa njia ya inter bank money transfer kiasi cha 5000USD , matokeo yake bank wakai double ikawa 10,000USD,Mie baada ya hapo nikaitoa pesa yyote baada ya miezi 4 Bank walinipigia simu kwamba nirejesha pesa mie nikawaambia nimezitumia wakasema niende ofisini kujieleleza, mie sijaenda mpaka leo. Sasa niende au nisiende na kama nikienda nikajieleze vp? pesa nimetumia zote!
huwezi tumia kitu usichostahili mkuu kitaalamu wanaita "unjust enrichment" unless otherwise there are other exception...but if they send you to the court of law find a good advocate there are some technicalities of law which can be applied to justify your act​Mie ni mteja wa BANK moja hapa mjini, mwaka jana jamaa yangu alinilipa pesa kwa njia ya inter bank money transfer kiasi cha 5000USD , matokeo yake bank wakai double ikawa 10,000USD,Mie baada ya hapo nikaitoa pesa yyote baada ya miezi 4 Bank walinipigia simu kwamba nirejesha pesa mie nikawaambia nimezitumia wakasema niende ofisini kujieleleza, mie sijaenda mpaka leo. Sasa niende au nisiende na kama nikienda nikajieleze vp? pesa nimetumia zote!
​Mie ni mteja wa BANK moja hapa mjini, mwaka jana jamaa yangu alinilipa pesa kwa njia ya inter bank money transfer kiasi cha 5000USD , matokeo yake bank wakai double ikawa 10,000USD,Mie baada ya hapo nikaitoa pesa yyote baada ya miezi 4 Bank walinipigia simu kwamba nirejesha pesa mie nikawaambia nimezitumia wakasema niende ofisini kujieleleza, mie sijaenda mpaka leo. Sasa niende au nisiende na kama nikienda nikajieleze vp? pesa nimetumia zote!