Kaka Pekee
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 336
- 564
Ukisema wewe me nani nipinge. Mwenyewe nazielewa sana.Gari nzuri sana hii mkuu.
Ukisema wewe me nani nipinge. Mwenyewe nazielewa sana.
Ukisema wewe me nani nipinge. Mwenyewe nazielewa sana.
Ukisema wewe me nani nipinge. Mwenyewe nazielewa sana.
Kwani uliwahi kuona spare ya vanguard?The only thing ambacho ni kibaya kwenye hiyo gari haina spare tyre.
Hapo tu.
Otherwise kila kitu kiko poa.
Nimecheki ushuru naona wa kawaida sana. Ingawa CIF kidogo imechangamka ila me najua Dar mafundi wapo. Hii nayo ipo kwenye to-do list ya 2022/23.The only thing ambacho ni kibaya kwenye hiyo gari haina spare tyre.
Hapo tu.
Otherwise kila kitu kiko poa.
Hizo gari walizitoa kutoka 2007 wakaishia 2010 af ni kwa domestic market tu.Nimecheki ushuru naona wa kawaida sana. Ingawa CIF kidogo imechangamka ila me najua Dar mafundi wapo. Hii nayo ipo kwenye to-do list ya 2022/23.
Prius, Crossroad, Impreza G4, Audi A3/4, na lile C series za 2009 kuja juu aisee.
Sijawahi mkuu.Kwani uliwahi kuona spare ya vanguard?
Kwa nn ni mikoa hiyo tu mkuu?Nunua kama unaishi mikoa hii
[emoji3578][emoji3578]Mwanza
[emoji3578][emoji3578]Dar
[emoji3578][emoji3578] Arusha
[emoji3578][emoji3578]Moro
Tofauti na hapo litakuwa zigo la kwako pamoja na familia Tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni rahisi kuitengeneza sababu katika hiyo miji ni rahisi kupata professional people walioko kwenye gereji za Hali ya juu japo itakutoka hela but matengenezo yapo sasa wewe unakaa katavi ,mtwara ,kishumundu utajuta kama ugonjwa WA kisukariKwa nn ni mikoa hiyo tu mkuu?
Badala ya Spare Tyre kwenye hii gari nimekuta wameniwekea Portable Air Pump kwa ajili ya kujazia tyres upepo ukipungua na Tyre repair Kit ili kukusogeza unapoweza pata huduma ya msingi.👍The only thing ambacho ni kibaya kwenye hiyo gari haina spare tyre.
Hapo tu.
Otherwise kila kitu kiko poa.
Badala ya Spare Tyre kwenye hii gari nimekuta wameniwekea Portable Air Pump kwa ajili ya kujazia tyres upepo ukipungua na Tyre repair Kit ili kukusogeza unapoweza pata huduma ya msingi.[emoji106]