Sidhani ata kama anaijua kishumundu itakua jina limemchanganya, nihatua chache za miguu kutoka moshi mjini.unakariri maisha, kishumundu Siyo kwamba ni porini, Ni km 3 au 5 tu kutoka Moshi town. Umaarufu wake ni kutokana na ushamba mwingi enzi hizo wakija moshi mjini.
Leo hii ni moja ya eneo lenye wasomi wengi wakubwa, hola kusahau watu wengi wenye matatizo ya akili.
Kaka, Gharama za hii gari hadi kufika + Ushuru wa Bandari na vyoote hadi kuichukua na kuingia nayo Road imegharimu Tshs 10.6M hii imetegemea na gharama niliyonunulia.
1.) Hii Gari ina matoleo mawili 2Wheels na 4Wheels drive
2.) Ukubwa wa Engine za gari hizi kuna CC 1799 na CC1990
3.) Ni 7 Seater ikiwa ni SUV Medium sized kwa matumizi ya familia.
Basi tungeingia cha kike wengi ata mimi iko moyoni sana naipenda sana crosroad kwa muonekano wake japo sijawai kupanda wala kuendesha, mliowai kua nayo mtutoe tongotongo
Ata kama sio kumiliki labda atakua na uzoefu nayo angetupa maelezo ya kinaMzee ushawah milik hii gari?
Tuambie kwanini sio gari, kama unaijua/kuimiliki tuambie mkuu, maoni yako
Kaka natamani kununua hii gari please kama upo dar naomba nichek ata niione tu na unipe ushauri namba yangu 0712432619Gari aina ya Honda Crossroad ni aina ya gari inayotokea kunivutia sana kutokana na Muonekano wake, nafasi ndani ya gari ya Engine safi na hata Ground Clearance fasi kwa barabara zetu za huku Madongo kuinama. Hii ni gari yangu ya Nne baada ya Toyota IST, Nissan Wingroad, na Yoyota RAV 4,
NB: Mwenye Honda Crossroad aliye Interested kuanzisha Social media Club ya gari hizi ili kuchat kuhusu Fahari,Changamoto Upatikanajibws Spare za aina hii ya gari sambamba na Kupanga Camping Trip ya pamoja karibu kwa comment hapa au Inbox tuyajenge.
View attachment 2050168
View attachment 2050169
View attachment 2050183
16mil mkuuKaka, Gharama za hii gari hadi kufika + Ushuru wa Bandari na vyoote hadi kuichukua na kuingia nayo Road imegharimu Tshs 10.6M hii imetegemea na gharama niliyonunulia.
1.) Hii Gari ina matoleo mawili 2Wheels na 4Wheels drive
2.) Ukubwa wa Engine za gari hizi kuna CC 1799 na CC1990
3.) Ni 7 Seater ikiwa ni SUV Medium sized kwa matumizi ya familia.
Wewe unataka ununue imfie nani
Gari aina ya Honda Crossroad ni aina ya gari inayotokea kunivutia sana kutokana na Muonekano wake, nafasi ndani ya gari ya Engine safi na hata Ground Clearance fasi kwa barabara zetu za huku Madongo kuinama. Hii ni gari yangu ya Nne baada ya Toyota IST, Nissan Wingroad, na Yoyota RAV 4,
NB: Mwenye Honda Crossroad aliye Interested kuanzisha Social media Club ya gari hizi ili kuchat kuhusu Fahari,Changamoto Upatikanajibws Spare za aina hii ya gari sambamba na Kupanga Camping Trip ya pamoja karibu kwa comment hapa au Inbox tuyajenge.
View attachment 2050168
View attachment 2050169
View attachment 2050183
Duka la spare la Prashant mtwara nadhani Kuna hiyo mikoa uliyoitaja hawalifikii Kwa upatikanaji wa spareNi rahisi kuitengeneza sababu katika hiyo miji ni rahisi kupata professional people walioko kwenye gereji za Hali ya juu japo itakutoka hela but matengenezo yapo sasa wewe unakaa katavi ,mtwara ,kishumundu utajuta kama ugonjwa WA kisukari
Canada wanapenda Sana HondaGari aina ya Honda Crossroad ni aina ya gari inayotokea kunivutia sana kutokana na Muonekano wake, nafasi ndani ya gari ya Engine safi na hata Ground Clearance fasi kwa barabara zetu za huku Madongo kuinama. Hii ni gari yangu ya Nne baada ya Toyota IST, Nissan Wingroad, na Yoyota RAV 4,
NB: Mwenye Honda Crossroad aliye Interested kuanzisha Social media Club ya gari hizi ili kuchat kuhusu Fahari,Changamoto Upatikanajibws Spare za aina hii ya gari sambamba na Kupanga Camping Trip ya pamoja karibu kwa comment hapa au Inbox tuyajenge.
View attachment 2050168
View attachment 2050169
View attachment 2050183
Prashant ana kila kitu,Hakuna anachokosa hapo MtwaraDuka la spare la Prashant mtwara nadhani Kuna hiyo mikoa uliyoitaja hawalifikii Kwa upatikanaji wa spare