mpuyango
Member
- Aug 17, 2016
- 60
- 68
Jumapili nilisinziaa kanisani bana[emoji18]nimelala wee mara nikasikia jirani yangu ananimbia pembenii! "Mpendwa amkaa!!" Nikasikiaa na mchungajii uko!! "NYANYUKAA!!" Nikasimaama watu wote wakapigaa makofi[emoji122][emoji122][emoji122]
Mchungaji: oooh asante sana haya mwinginee anaetoaa million 2 kama mchangoo wa shughul za kanisaa??[emoji15][emoji15]
Nilizimiaa ndo nimeshtuka sasa hivi [emoji18][emoji18]
Mchungaji: oooh asante sana haya mwinginee anaetoaa million 2 kama mchangoo wa shughul za kanisaa??[emoji15][emoji15]
Nilizimiaa ndo nimeshtuka sasa hivi [emoji18][emoji18]