Nimezodolewa na manesi



kweli wewe ni expert! Salute mkuu
 
Angalia mzee huenda ulikuwa unakosea njia lakini hakwambii akijua unapenda mambo yaleeee
 
Hebu endelea na bia yako taratibu utuachie mambo yetu.
Hata kama haijamtokea yeye inaweza kuwa imemtokea mtu mwingine yeyote, au ikamtokea mtu yeyote na ukahitajika ushauri.
Tuwe tunajifunza kwa lolote tunalolisikia.
eti Luv Bujibuji si anatuchakachua na hii story mbona kama ya kutunga vile?
 

Una bonge ya experiense mkuuu. Tumekupata
 

Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha umeniacha hoi mtaalamu wa kujiexpress
 
Kama ni kweli uliyoyaandika ( Maana sikuamini hata chembe ...waonekana msanii)!

ushauri wangu ni kwamba: Huna mwanamke hapo, kwa sababu keshaanza huo mchezo kuacha ni issue....mpige chini kwa ajili ya future yako....ukiyataka makubwa siku za usoni endelea nae!
 

Gaijin, wababa wangapi wakienda kuona wake zao waliojifungua wanaambiwa hivyo na manesi?
 
Aisee hilo ni tatizo, kama ni kweli ulimkuta na bikra halafu leo hii kafanya hivyo jua wazi huyo si muaminifu katika ndoa yenu. Nakushauri kwanza uhakikishe kama mtooto ni wako, pia mbane akueleze wazi alikuwa anafanya na nani mchezo huo, vinginevyo muache kama akimlinda fisadi huyo.
 
duniani kuna wadudu wengi mamilioni ya aina ila anayeonekana mbaya ni FUNZA tu sijui kwa nn?
 
Hebu endelea na bia yako taratibu utuachie mambo yetu.
Hata kama haijamtokea yeye inaweza kuwa imemtokea mtu mwingine yeyote, au ikamtokea mtu yeyote na ukahitajika ushauri.
Tuwe tunajifunza kwa lolote tunalolisikia.

Orait.....mhudumu...weka bia lete bili...koh koh koh...hick hick...weka bili lete bia...koh..
 
We fikiri ya kutunga ngoja yakukute. Mpe ushauri


yakinkuta ntaanza kuwakagua hao manesi kwanza kabla hawajanieleza upu upu wao...umesahau kama na miye ni DK....:israel::israel:
 
duh mkuu inaonyesha unakula sana mapaka (changus)
 
Gaijin, wababa wangapi wakienda kuona wake zao waliojifungua wanaambiwa hivyo na manesi?

kwanza hapa maadili ya kazi hayakuzingatiwa

hata kama ana tatizo na ana fanya vitendo hivyo kweli, ni suala baina ya mgonjwa na daktari/mhudumu wake, sio kwenda kumwambia mume.

itifaki ya tiba haikuzingatiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…