BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Wazee nimezunguka mitaa kadhaa ya Kawe na Mbezi Beach na maeneo mengine ya karibu na hayo Dar es Salaam, siku mbili hizi kwa ajili ya kutafuta sukari lakini sijafanikiwa kupata kwenye maduka yote niliyoenda.
Kwani hii hali ipo pia mitaani kwenu?
Sukari iko wapi kwani? Au baada ya Serikali kuratibu zoezi la bei elekezi ya sukri ndio sababu ya kupotea sukari mitaani?
Kwani hii hali ipo pia mitaani kwenu?
Sukari iko wapi kwani? Au baada ya Serikali kuratibu zoezi la bei elekezi ya sukri ndio sababu ya kupotea sukari mitaani?