“Nimezunguka huko nimepata VIJIPESA kidogo", hii ni kejeli kwa Watanzania watakaolipa haya madeni

“Nimezunguka huko nimepata VIJIPESA kidogo", hii ni kejeli kwa Watanzania watakaolipa haya madeni

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Asarareeeeeeee,

Unajua wakishakalia madaraka hujawa na dharau na viburi visivyo na msingi wowote hii ndio hulka ya binadamu alieshiba huwa hakumbuki kama jana alipata shida.

Kwanza huko nje hakuna pesa ya Bure wanayopewa zote ni zina mashart au riba kubwa au riba ndogo au riba ya muda mfupi au riba ya muda mrefu.

Sasa watu wamekuagiza ukakope kwa niaba yao leo ukirudi unakutana na wale walipaji watakaolipa lile deni unawaelezea kwa dharau kwamba vijipesa wakati hao walipaji wakati wa kulipa wataongezewa kodi hadi kwenye vyakula na vifaa vya ujenzi hii sio sawa.

Viongozi wajitathmini na siku wananchi wakielewa kwamba hali ngumu zote wanazopitia zinatokana na sera mbovu za viongozi hao sijui itakuaje.
 
tanzania mingi jinga sana.alisema kanjbai mmoja tukiwa site
 
Wao wameshikilia mpini, walipakodi wameshikilia makali
 
Mavi ongozi yetu ni kama mashetani tu.

Kwa vile hayalipi kodi,kila kitu yanahudumiwa na serikali yanajifanya hayaelewi shda tutakazozipitia.

Pesa za kovid hatukupaswa kuzichukua ni heli yale madarasa tungeyajenga kwa kuvutana
 
Na hivyo vijipesa wanagawana wao mafungu makubwa makubwa
 
Na hivyo vijipesa wanagawana wao mafungu makubwa makubwa

Wema keshapewa Benz zile zilizotumika SADEC, Tive naye ashapewa moja yale mabenz ya Sadec yaliyobeba viongozi kwenye ule mkutano ongea na mama upewe na wewe moja
 
Mavi ongozi yetu ni kama mashetani tu.

Kwa vile hayalipi kodi,kila kitu yanahudumiwa na serikali yanajifanya hayaelewi shda tutakazozipitia.

Pesa za kovid hatukupaswa kuzichukua ni heli yale madarasa tungeyajenga kwa kuvutana

Viongozi wa Afrika waliowengi hujawa na viburi, dharau, majivuno ndio maana hawana ubunifu wa kuwatoa wananchi wao kwenye lindi la umaskini uliokithiri.
 
Bado miaka 60 ya uhuru tunajenga madarasa, vyoo, hatujui land planning ni nini, tupotupo duniani tunasikindikiza wanaoendelea
 
Madaraka huwapa wengi UPOFU wa akili.

Hujikweza

Hudogosha wengine

Huvaa roho za ukatili na kichawi

Kimsingi huwa ile leadership skills hupotea kabisa wala hawaipractices wanaongoza kwa hisia na maslahi yao sio misingi ya uongozi.

So sad
 
Mkiambiwa waafrika hatuna akili mnakuja na mapovu wakati ukweli upo wazi..
 
Mapigo wapatayo walipa madeni sikumoja likimpata mkopaji tutaelewana
 
Huyo ndo Bi.Mikopo, tusubiri kupigwa mnada tu

World Bank kimeshaanza kunuka, aliposhauriana na waziri wake wa fedha kwamba wakope sehemu fulani ili walipe sehemu fulani nikajua mama ashaanza formular za kwenye vikoba vya akina mama, nikajua hapa tuna balaa
 
Back
Top Bottom