kwanza mwanaume haringi au kujishaua, wanawake watakuchukia ukiwa hivi pili una condoms? Tatu opportunity dance with the one on the dance floor, ingia kula kitu kama size yako
anza mkataba, ndio mwanaume anatakiwa kuwa, hakuna mapenzi siku hizi watch out, kitu kikiwa kinakufaa kiweke ndani au hakifai sepa, kata mawasiliano, acha mapenzi hayapo, usipoteze muda, ukazani ni ww mwenyewe umemwona, kula tambaa kama hafai ciao
Wana jf naomba ushauri. Kuna dada anafanya kazi sehemu moja inayo toa services. Ni dada mzuri, msafi, anajiheshi, anaelimu nzuri na muungwana. Tatizo Kila nikienda hiyo sehemu kupata service nakutana na vituko. Sometimes akiniona ni kama anachanganyikiwa. Siku moja nimepita hapo akawa anaongea na jamaa kwenye simu alipo niona akaweka loud speaker. Huyo jamaa alikua anamwomba amwoe na yeye akawa anakataa. Siku changia chochote nikauchuna. Siku nyingine akaniambia nimevaa vizuri kama nakuja kumwoa. Nikamshukuru kwa compliment yake lakini sikuongeza lolote. Jana sijui kapeleleza wapi akaniambia kitu ambacho alipaswa kuniambia mtu ambaye nipo naye karibu nina maana amepeleleza hadi amajua hicho kitu.
Sasa naomba masaada maana juhudi anayo fanya huyu dada, naona kama namwonea kutoonyesha any positive response. Namheshimu, i mean sijaonyesha dharau yoyote. Nifanyaje na je nimawazo yangu finyu. Note. Samahani sina maana sipendi anacho kifanya (nafurahia mno) lakini kutojua na kutokuwa makini kunaweza kunigharimu.
kaka we leo na condoms tu....zimekufanya nini?
.
No thanks!! hujaelewa, soma upya. naenda kununua service za kampuni na sio kwajili yake. kawni wewe unapokwenda gengeni pale mtaani pako ni kijipendekeza??
Unamchelewesha wa nini chapa lapa fasta fasta jichepe.
vipi hapo unapigawimbo gani
Hivi mbona tunamawazo negative sana hapa JF. Sijasema chochote hata kama ni matatizo au najisikia vibaya kuwa single, kwani kuwa single kwako kuna maana gani?? kwani mie wa kwanza??, au ni ushamba fulani kuwa single??,. Pili kunamisingi ya maisha ambayo kila mtu anahaki ya kuifuata. Kama ni mkristo huruhusiwi kufanya kitu chochoite kabla ya kuoa na baada ya kuoa hakuna kuaachana hadi kifo hata kama mkiachana huruhusiwi kuo tena au kuolewa tena, au nachanganya na wala nyumba ndogo hairuhusiwi the same kwa waislam. Kuna mtu hapa JF kauliza eti mwaka ni tatizo kwake bila kufanya mabo hayo?? Mbona tunakuwa kama kuku ambao hugawa na kununua bidha bila kuul;iza muuzaji au mnunuzi. Hivyo nilikuwa nahitaji ushuri mzuri namna ninavvyo weza nikajenga uhusiano mzuri naye na si ushauri wa kufanya naye mapenzi (nitakuwa mharibifu wa maisha yake hata kama ni dada mzima, na sipendi).kwanza mwanaume haringi au kujishaua, wanawake watakuchukia ukiwa hivi pili una condoms? tatu opportunity dance with the one on the dance floor, ingia kula kitu kama size yako
anza mkataba, ndio mwanaume anatakiwa kuwa, hakuna mapenzi siku hizi watch out, kitu kikiwa kinakufaa kiweke ndani au hakifai sepa, kata mawasiliano, acha mapenzi hayapo, usipoteze muda, ukazani ni ww mwenyewe umemwona, kula tambaa kama hafai ciao
Hivi mbona tunamawazo negative sana hapa JF. Sijasema chochote hata kama ni matatizo au najisikia vibaya kuwa single, kwani kuwa single kwako kuna maana gani?? kwani mie wa kwanza??, au ni ushamba fulani kuwa single??,. Pili kunamisingi ya maisha ambayo kila mtu anahaki ya kuifuata. Kama ni mkristo huruhusiwi kufanya kitu chochoite kabla ya kuoa na baada ya kuoa hakuna kuaachana hadi kifo hata kama mkiachana huruhusiwi kuo tena au kuolewa tena, au nachanganya na wala nyumba ndogo hairuhusiwi the same kwa waislam. Kuna mtu hapa JF kauliza eti mwaka ni tatizo kwake bila kufanya mabo hayo?? Mbona tunakuwa kama kuku ambao hugawa na kununua bidha bila kuul;iza muuzaji au mnunuzi. Hivyo nilikuwa nahitaji ushuri mzuri namna ninavvyo weza nikajenga uhusiano mzuri naye na si ushauri wa kufanya naye mapenzi (nitakuwa mharibifu wa maisha yake hata kama ni dada mzima, na sipendi).
Pili tusi[pende kujitetea eti hatuwezi kusubiri eti tutajishua nani kakwambia???. Kama hujapata kazi usisingizie kuwa kama hawakupi kazi utaanza kuiba?? hakuna excuse utakwenda jela kama kawaida na kazi hupewi. so take care na uwe mwaminifu.Kwa kweli ni tabutupu huko mwisho wa universe, ninavyo soma mawazo ya watu hapa JF sodoma na ghomora i karibu
hebu nielewesheni wakuu, huyu mkulu mbandika bandiko anataka ushauri wa aina ipi? hamwelewi huyo bidada na anaomba kueleweshwa? au anamwelewa ila anaomba ashauriwe cha kumfanya huyo bidada? au haelewi anachotakia ushauri?