Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
- Thread starter
-
- #21
kumjua mtu tabia zake na kama mko compartible itakuwa ngumu kama mko mbali mbali kama ulivyosema,jaribu kutafuta muda wa kuwa karibu naye ili umsome kama anafaaa,ukijiridhisha kama anafaaa,mgusie jambo la kuoana....mkiwa wachumba rasmi unaweza anza ku sex naye....haina haraka mwaya wala usikimbilie saana kummega,kuku wako mwenyewe manati ya nini?lol
<br />endelea kusubiri..<br />
<br />
huku wenzio wanakula kwa siri lol
<br />Ndugu wana jf. Mimi nina rafiki yangu wa kike ambaye kimsingi ninampenda sana. Ni mwanamke anayejiheshimu sana japo kwa siku za hivi karibuni amekuwa na mapozi sana. Tangu nimekuwa naye kwenye mahusiano ( mwaka 1 ss) sijawahi kumchakachua kwa kuwa nina malengo makubwa zaidi ya kuwa mke wangu. Kutokana na tabia inayojitokeza ya kuanza mapozi imenifanya nitamani kubandua. I know from religious point of view that sex before marriage is both immoral and spiritually destructive, but with regard to the current social context where nearly everything is upsidedown and vice versa, je itakuwa sahihi mimi nikimchakachua ukizingatie nia yangu ya kumuoa huyu mwanamke?<br />
<br />
Naombeni ushauri<br />
GZ
endelea kusubiri..
huku wenzio wanakula kwa siri lol
Kaka hayo mambo mwanzoni ulimwachia mungu kwa kubase katika dini na kuamua kusubiri vipi tena wataka kuyatoa kwake uvumilivu umekushinda? Mie nahisi ni majarib 2 ya kuvunja agano lenu. Kwanin kitu cha kwanza kuwaza ni labda kwa sababu ujazin nae? Angalia vitu vingine ambavyo vinaweza kuwa vipo pia. Agano ni promise usivunje.
atakuwa anakuona kama msichana mwenzie ndio maana anakuletea pozi.
Keshapata wa kumchakachua huyo!
atakuwa anakuona kama msichana mwenzie ndio maana anakuletea pozi.