Nimfanyeje kiumbe huyu.....?

Nimfanyeje kiumbe huyu.....?

ladywho

Senior Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
107
Reaction score
49
Niliangukia ktk penzi la fisadi wa mapenzi, nikampenda na kwa dhati nilitamani awe mume wangu wa maisha. Mwaka mzima tumekuwa marafiki ila majuzi nilifika anapoishi tulitaka tukamilishe mzunguko wa huo upenzi we2, nyumba, gari kazi nzur anavyo...ila tabia yake sasa. Ktk pekua pekua ya kike, nimekuta nguo za wanawake 5 tofauti zimeifadhiwa chumba cha pili ktk mafurush, simu yake msg za wadada km 10 hv wote amechat nao kihatari hatari..ngono! Ckuweza kumezea ivyo nikamuuliza akaruka kuvijua vi2 ivyo na msg akadai wadada wote hao wanamtongoza! Nilishindwa la kusema zaidi ya kujibebea walet yangu na kusepa huku namshukuru Mungu ckuwa nimepanua paja...! SASA ANANISUMBUA, ANATAKA NIMRUDIE, NIMSAMEHE, ATAWAACHA WOTE KWA AJILI YANGU...ANANIKERA...SIMTAKI...NIMFANYEJE FISADI HUYU AACHANE NA KUNISUMBUAA?! Najua hawezi kubadilika kabisaa!
 
mpe second chance kama na wewe wampenda
lakini kwa uangalifu
 
Mradi umejionea mwenyewe haina haja ya kumsamehe endelea na msimamo wako my dia
 
mshukuru mungu kwa kukuepushia mengi kutoka kwake.endelea na moyo huo huo,hata kama hasikii kuwa wewe na yeye basi,mwache aendelee kulonga peke yake
 
advice is what we ask for when we know exactly what we should do bt we dont wanna do it! inaonekana kama unayo majibu. haya,fanyia kazi mamii. usitegemee kuwa na mtoto wa mwanamke mwenzio ukambadilisha kwa kiasi kikubwa,labda atake mwenyewe!
sidhani km atabadilika. Idadi ya madem imeniogopesha, ctaki kufa.
 
Kama unampenda kweli
hebu mpe second chance kwa masharti uone kama atabadilika,
kama ataendelea na hizo tabia zake mpendwa nakushauri uchape lapa
 
Mh! mwaka mzima hajakuchakachua kweli?! kw mapenzi haya y cku hiz!! haingii akilini ht kidogo
 
kampime ukimwi kwanza, halafu mwambie akajitambulishe kwa wazazi rasmi kuonyesha yuko siriazi.
 
Mh! mwaka mzima hajakuchakachua kweli?! kw mapenzi haya y cku hiz!! haingii akilini ht kidogo
sa we yanakuhusu nin mkuu,achakachuliwe/acchakachuliwe ni yeye mwenyewe na ki2mbua chake.
 
Wewe msichana, always unapoingia kwenye mahusiano lazima unamkuta mwanaume ana mambo yake kibao, na nguo lazima utakuta tu, mie nilipoachana na x wangu sikuchukua nguo zangu ina maana mwingine akizikuta atasema naendelea nae wakati hata sikurudi nyuma, wewe sasa kuanzia hapo unaingia na sheria zako na mambo mengi tu, na atabadilika tu kama anakupenda
 
Labda nianze hivi 'No man is hero before a woman',invyonekana hukumpenda huyo jamaa kwa moyo wako wote,na kama unampenda unauwezo wa kumbadilisha mtu wako akawa katika hali nzuri,akaachana na kila kitu ambacho kinamaudhi kwako.Pia angalia na jaribu kujihoji mwenyewe why is he doing that?Chukua hatua jaribu kumdadisi kwanini anatenda hilo;hayo yote ni udhaifu wa wanadamu,usichukulie kwa hasira kihivyo.
Pili usipende kumbania mtu wako kama mko wote,hiyo inampa yeye mwanya wa kutafuta vitulizio nje.KAMA UNAMPENDA UTAMLINDA
 
Wewe msichana, always unapoingia kwenye mahusiano lazima unamkuta mwanaume ana mambo yake kibao, na nguo lazima utakuta tu, mie nilipoachana na x wangu sikuchukua nguo zangu ina maana mwingine akizikuta atasema naendelea nae wakati hata sikurudi nyuma, wewe sasa kuanzia hapo unaingia na sheria zako na mambo mengi tu, na atabadilika tu kama anakupenda
nguo naweza nisizisemee, na msgs kwa sim je? Nazo walisahau? First expresion inadetamine mambo bdae yatakuwaje bwana. Mi ninachotaka asinisumbue sumbue tena.
 
Labda nianze hivi 'No man is hero before a woman',invyonekana hukumpenda huyo jamaa kwa moyo wako wote,na kama unampenda unauwezo wa kumbadilisha mtu wako akawa katika hali nzuri,akaachana na kila kitu ambacho kinamaudhi kwako.Pia angalia na jaribu kujihoji mwenyewe why is he doing that?Chukua hatua jaribu kumdadisi kwanini anatenda hilo;hayo yote ni udhaifu wa wanadamu,usichukulie kwa hasira kihivyo.Pili usipende kumbania mtu wako kama mko wote,hiyo inampa yeye mwanya wa kutafuta vitulizio nje.KAMA UNAMPENDA UTAMLINDA
vi2lizo kumi? Hapana jamani! Ningekuta kamoja ningewait ila vyote ivyo lazma ni mgonjwa wa akili.
 
Kwahiyo we ladywho ulitegemea asiwe hata na msichana wa kupozea hata kama ni mmoja wakati wewe unakiri kuwa uko naye mwaka mzima lakini hujawahi kumpa. Kwa kifupi hakuna mwanaume wa hivyo unless ana kasoro. Kilichokusaidia hadi ukajua yote hayo ni kwa sababu umepekua kila mahali. We endelea naye tu kama kweli unampenda,ila kama walivyoshauri wengine uwe unambana lakini pia uwe unampanulia vinginevyo atarudia makoloni yake tu. Usibane sana dada yangu, hiyo kitu wanaume tunaipenda mno. Mwanaume yeyote (aliyefiti) hawezi kuvumilia mwaka mzima, ikishindikana kabisa hata Ohio ataenda.
 
Back
Top Bottom