Nimfanyeje kiumbe huyu.....?

idadi imenitisha mwenzio. Au na wewe unao 10?
 
Jihoji nafsi yako kwanza,wewe je ulishawahi kuwa nao?usimhukumu kwa kuwa nao kumi?isitoshe hana mkataba nao.Mpe masharti na mpime kwa muda usichukue maamuzi ya haraka sio mazuri.Aweza kubadilika na kuwa mtu mzuri baba wa familia.
 
umevuna ulichopanda,
ulitegemea nini wakati unabana mwaka mzima?
hiyo haina lawama amekuonyesha urijali wake

mbona hujatuambia na wewe kwenye simu yako kuna sms ngapi za wale jamaa,
 
Nina wasiwasi na kauli yako kwamba "Hukuwa umepanua paja". Kwa hali ilivyo sasa, ni very rare watu kukaa hata mwezi mmoja wakiwa hawaja-make love, na ukizingatia huyo jamanaa ni fisadi wa mapenzi. Cha kukushauri kapime ngoma maana takwimu zinaonyesha mtu mmoja kati ya 10 hapa nchini ana ngoma. Na wewe ulikuta meseji 10 katika simu yake akichati kingonongono na wasichana tofauti. Hii ina maana kama amewala wote peku tayari atakuwa amekanyaga miwaya achilia mbali ambao alikuwa hajachati nao siku hiyo.
 


sasa wewe mwenyewe unasema humtaki, sasa kiherehere cha kutuuliza sisi ni cha nini tena, kama na wewe unaona vipi basi mrudie harafu UMPANULIE PAJA akut;'l@...#%4$....e
 
Mueleze tu kuwa asipoteze muda kukusumbua maana kamwe hutarudi nyuma,then uwe unamchunia kiukweli. Ataendelea kwa muda then atachoka tu atapumzika.
 

Kwa mtizamo wako. Upo ushahidi usio na shaka wa watu waliopendana zaidi ya miaka 5 bila kuvunja amri ya sita.
 
Love until it hurt, and when it hurt Love some more, when it hurt love even more..........Love until it hurts no more.....................
 
Huyo anakusumbua kwa sababu hujamfunulia paja. Mfunulie uone atakavyosepa, mwanaume kama hajapata yuko radhi hata akupigie magoti hata akurambe na mchozi juu ukimtoka, ngoja apate ndio utaona rangi zote.

Ila fuata moyo wako mama.
 
Lakini dada, huyo jamaa kama ni kiwembe kama usemavyo inawezekaje umekaa naye mwaka mzima bila kujua hizo tabia zake hata katika mwezi mmoja tu? Nahisi umemchoka ndio maana umemtafutia sababu, we endelea tu!
 
Love until it hurt, and when it hurt Love some more, when it hurt love even more..........Love until it hurts no more.....................

I am in love with this statement. I beg for permission to modify and use it.
 

Kwanza nikupe hongera kwa kutopanua paja kwa mwaka mzima....hii inaashilia mashine bado iko intack, yaani hujawahi panua kwa mtu mwingine pia!! maana kama umeshawahi panua kwa mwingine na kama mtarudiana na akagundua umemfanyia usanii mwaka mzima wakati mchezo unafanya hii inaweza kuwa point of difference!
Pili nirudi kwenye vigezo vyako (...nyumba, gari, kazi nzuri anavyo!) nikufahamishe wewe si wakwanza kuona haya kwake!! wengine pia wameona na kuridhika!! maisha ya leo hayana mwanaume kumtafuta/kumtongaza mwanamke hata wanawake wanatongoza wakiishaona vigezo vimetimilika!!!
Ushauri wangu ebu nenda step further uangalie ubinadamu/utu wake ....je ni mtu wa familia? je mwaweza kuishi wote? na lastly muombe Mungu!!!
Husichukulie tu swala la msg na nguo ukadhani umemaliza...watu/mtu anaweza kuwa hivi leo kesho akabadilika unahitaji kufanya-analysis ya kutosha si yakitoto! na si kweli kwamba kila anayefanya sex anaukimwi!! So husiwe mwepesi wa maamuzi .....it might be unajikosesha mmeo wa ndoa!! Mtegemee Mungu!!!
 
Huyo anakusumbua kwa sababu hujamfunulia paja. Mfunulie uone atakavyosepa, mwanaume kama hajapata yuko radhi hata akupigie magoti hata akurambe na mchozi juu ukimtoka, ngoja apate ndio utaona rangi zote.

Ila fuata moyo wako mama.

lkn akionja akakuta mambo mazuri si anakaa mpaka gari ananunua? lkn akakuta kawaida ......!!!
 
usidanganyike dada angu. hapo probability ni 100%-he has an affair with hao machicks bana....pia u might be wrong or not kuguess.thru xperience...lazima amepawanga kiaina. cha muhimu chukua uamuzi ambao hautajutia.... ukimtosa usijute songa mbele. ukimrejea usijute pia maana utakuwa umeamua wewe. jifunnze kutojutia maamuzi yako.
 
sa we yanakuhusu nin mkuu,achakachuliwe/acchakachuliwe ni yeye mwenyewe na ki2mbua chake.
Na mimi nilichoandika kinakuhusu nini? au unaona wivu 2 jamaa anaVIBURUDISHO 10 ....hlf ww ht malaya wanakukatalia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…