Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 423
- 90
umeshachukua uamz wa kuachana nae, ushauri unaomba wa nn tena dada.sidhani km atabadilika. Idadi ya madem imeniogopesha, ctaki kufa.
umeshachukua uamz wa kuachana nae, ushauri unaomba wa nn tena dada.
Mrembo pole sana kwa kutendwa na hongera kwa kujitambua mapema. Maamuzi magumu yapo ndani yako mwenyewe!Niliangukia ktk penzi la fisadi wa mapenzi, nikampenda na kwa dhati nilitamani awe mume wangu wa maisha. Mwaka mzima tumekuwa marafiki ila majuzi nilifika anapoishi tulitaka tukamilishe mzunguko wa huo upenzi we2, nyumba, gari kazi nzur anavyo...ila tabia yake sasa. Ktk pekua pekua ya kike, nimekuta nguo za wanawake 5 tofauti zimeifadhiwa chumba cha pili ktk mafurush, simu yake msg za wadada km 10 hv wote amechat nao kihatari hatari..ngono! Ckuweza kumezea ivyo nikamuuliza akaruka kuvijua vi2 ivyo na msg akadai wadada wote hao wanamtongoza! Nilishindwa la kusema zaidi ya kujibebea walet yangu na kusepa huku namshukuru Mungu ckuwa nimepanua paja...! SASA ANANISUMBUA, ANATAKA NIMRUDIE, NIMSAMEHE, ATAWAACHA WOTE KWA AJILI YANGU...ANANIKERA...SIMTAKI...NIMFANYEJE FISADI HUYU AACHANE NA KUNISUMBUAA?! Najua hawezi kubadilika kabisaa!
asante kwa kuuona uwezekano. Watu wengne wanadhani kupenda ni ngono tu.Kwa mtizamo wako. Upo ushahidi usio na shaka wa watu waliopendana zaidi ya miaka 5 bila kuvunja amri ya sita.
Uandishi wako wafanana na wa Not enough!!! Ila sio mbaya hata kama UMEPANUA huwezi tuambia. Unafikiri tutakuonaje jasiri kama hautakataa kama umemegwa?? Napita tu.Niliangukia ktk penzi la fisadi wa mapenzi, nikampenda na kwa dhati nilitamani awe mume wangu wa maisha. Mwaka mzima tumekuwa marafiki ila majuzi nilifika anapoishi tulitaka tukamilishe mzunguko wa huo upenzi we2, nyumba, gari kazi nzur anavyo...ila tabia yake sasa. Ktk pekua pekua ya kike, nimekuta nguo za wanawake 5 tofauti zimeifadhiwa chumba cha pili ktk mafurush, simu yake msg za wadada km 10 hv wote amechat nao kihatari hatari..ngono! Ckuweza kumezea ivyo nikamuuliza akaruka kuvijua vi2 ivyo na msg akadai wadada wote hao wanamtongoza! Nilishindwa la kusema zaidi ya kujibebea walet yangu na kusepa huku namshukuru Mungu ckuwa nimepanua paja...! SASA ANANISUMBUA, ANATAKA NIMRUDIE, NIMSAMEHE, ATAWAACHA WOTE KWA AJILI YANGU...ANANIKERA...SIMTAKI...NIMFANYEJE FISADI HUYU AACHANE NA KUNISUMBUAA?! Najua hawezi kubadilika kabisaa!
Kuna jamaa yangu yeye ni pumziko la wenye uhitaji na wenye kutendwa kama wewe, ni PM nikupeleke kwa jamaa ukapumzike mwaya. achana na hilo fisadi
Kulingana na wasifu ulioutoa kuhusu huyo jamaa (kwamba ni kiwembe) lazima utakuwa umeliwa tu, tena sana. Nakushauri ukapate ushauri nasaha pale AMREF, then upime ngoma ili ujue namna ya kuanza maisha mapya yenye mawazo.Kwa mtizamo wako. Upo ushahidi usio na shaka wa watu waliopendana zaidi ya miaka 5 bila kuvunja amri ya sita.
wherever, nimemegwa au lah its up to me! We niambie nfanyeje asinifatefate? Thats al!Uandishi wako wafanana na wa Not enough!!! Ila sio mbaya hata kama UMEPANUA huwezi tuambia. Unafikiri tutakuonaje jasiri kama hautakataa kama umemegwa?? Napita tu.
Niliangukia ktk penzi la fisadi wa mapenzi, nikampenda na kwa dhati nilitamani awe mume wangu wa maisha. Mwaka mzima tumekuwa marafiki ila majuzi nilifika anapoishi tulitaka tukamilishe mzunguko wa huo upenzi we2, nyumba, gari kazi nzur anavyo...ila tabia yake sasa. Ktk pekua pekua ya kike, nimekuta nguo za wanawake 5 tofauti zimeifadhiwa chumba cha pili ktk mafurush, simu yake msg za wadada km 10 hv wote amechat nao kihatari hatari..ngono! Ckuweza kumezea ivyo nikamuuliza akaruka kuvijua vi2 ivyo na msg akadai wadada wote hao wanamtongoza! Nilishindwa la kusema zaidi ya kujibebea walet yangu na kusepa huku namshukuru Mungu ckuwa nimepanua paja...! SASA ANANISUMBUA, ANATAKA NIMRUDIE, NIMSAMEHE, ATAWAACHA WOTE KWA AJILI YANGU...ANANIKERA...SIMTAKI...NIMFANYEJE FISADI HUYU AACHANE NA KUNISUMBUAA?! Najua hawezi kubadilika kabisaa!
ndio mimi mpenzi! Kumbe unaitwa bramo humu? Umeona maushauri walionipa watu hapa? Nikumwage, nisirudi utaniuaaWewe Ladywho wewe sio G wewe, Ina ni touch at, lakini hukukuta Nguo za Mademu na sms 10, ulikuta SMS 1 tu...Uongo????!!!!!!Waweza nii inbox Mamy