Nimfanyeje kiumbe huyu.....?

Kwani unafikir ukimwacha ndo hutopata mwingine? Nakuhakikishia kuwa mwingine utampata tu dadaangu, na atakua na wengine kama ukiendelea kubana hvyo vijipaja vyako....Mi ningekuchukua ila utanisumbua na hako katabia kako ka kubana miguu.
 
umeshachukua uamz wa kuachana nae, ushauri unaomba wa nn tena dada.

Hujajua mapenzi yanavyochanganya wewe,huyo ameacha physically,emotionally bado yuko naye hivyo ni kama hajafanya maamuzi.Mi namshauri aisikilize sauti itokayo ndani ya moyo wake(inner child),atumie akili kutafakari sauti hiyo na afanye maamuzi haraka sana.Asikubali hisia zisimpeleke kusiko.Mi sioni kama hapo alihitaji hata kuuliza cha kufanya, hivi wewe ladywho,huoni kuwa hapo kwa jamaa si nyumba ya kuishi bali ni Danguro?????????????
 
Katika mazingira ya siku hizi ni vigumu sisi kukubali 'hujapanua mguu' mwaka mzima,halafu kama hamjakuwa wapenzi kwanini ikuume hivi ? pia kubana kwako saaana pia kunaweza kuchangia yeye kucheza mechi za nje.
 
Mrembo pole sana kwa kutendwa na hongera kwa kujitambua mapema. Maamuzi magumu yapo ndani yako mwenyewe!
 
stay away from troubles...would be the best defence
 
hahahah! hivi lazima upokee simu zake au kujibu message? uchune atajiona mjinga. Pia mpe live kwamba huna time nae.
 
Uandishi wako wafanana na wa Not enough!!! Ila sio mbaya hata kama UMEPANUA huwezi tuambia. Unafikiri tutakuonaje jasiri kama hautakataa kama umemegwa?? Napita tu.
 
Dada pole sana,ila kama kweli humtaki siamini kama umeshindwa kukata mawasiliano nae,fikiria vizuri nawe utagunaua njia nyingi sana!
 
Kuna jamaa yangu yeye ni pumziko la wenye uhitaji na wenye kutendwa kama wewe, ni PM nikupeleke kwa jamaa ukapumzike mwaya. achana na hilo fisadi
 
Kuna jamaa yangu yeye ni pumziko la wenye uhitaji na wenye kutendwa kama wewe, ni PM nikupeleke kwa jamaa ukapumzike mwaya. achana na hilo fisadi

Kwahiyo ana msururu wa walioumizwa eeh?(kwasababu katika tasnia ya mapenzi,waumizwao ni wengi mno)Huyo na yule jamaa yake ladywho watakuwa ngoma droo!
 
Kwa mtizamo wako. Upo ushahidi usio na shaka wa watu waliopendana zaidi ya miaka 5 bila kuvunja amri ya sita.
Kulingana na wasifu ulioutoa kuhusu huyo jamaa (kwamba ni kiwembe) lazima utakuwa umeliwa tu, tena sana. Nakushauri ukapate ushauri nasaha pale AMREF, then upime ngoma ili ujue namna ya kuanza maisha mapya yenye mawazo.
 
Uandishi wako wafanana na wa Not enough!!! Ila sio mbaya hata kama UMEPANUA huwezi tuambia. Unafikiri tutakuonaje jasiri kama hautakataa kama umemegwa?? Napita tu.
wherever, nimemegwa au lah its up to me! We niambie nfanyeje asinifatefate? Thats al!
 

ukiona wengi wakonae mpakawanaanza kuachanguo,jua jamaa yuko fresh ktk mambo fulanii na hata matunzo ndo mana kila mmoja anaacha vitu aki aim kurudi na kuweka kambi,jambo la msingi usimpe mambo make sure unajua mustakabali wa mausiano yaliyopita kwa vitendo.kaa karibu na cm yake make sure haipo sailent wala haina call bearing,hakiki ili marakwa mara,utajua ukweli tu.............ila ukithubutu kutanua paja kabla itakula kwako.mm mwenyewe nilikutwa navitu kibao vya x-wangu ndani na msichana nilie panga kuwa nae milele,nilimueleza akaelewa japo ilikua ngumu kidogo,nashukuru alielewa nampaka sas niko nae na soon tuta sign mkataba kanisani wa kuwamke na mme
 
Dada, kama Mungu kakuonyesha mapema vile! Funga kwata, sepa mapema kabla haujaambukizwa magonjwa!
 
Wewe Ladywho wewe sio G wewe, Ina ni touch at, lakini hukukuta Nguo za Mademu na sms 10, ulikuta SMS 1 tu...
Uongo????!!!!!!
Waweza nii inbox Mamy
 
Inaonekana wewe na huyo jamaa
wote nimember hapa

halafu na hao wadada kumi wengi wapo hapa
na usikute ndio hao wanaokupa advice now......

Hii ni bonge la movie kwa kweli.............
 
Wewe Ladywho wewe sio G wewe, Ina ni touch at, lakini hukukuta Nguo za Mademu na sms 10, ulikuta SMS 1 tu...Uongo????!!!!!!Waweza nii inbox Mamy
ndio mimi mpenzi! Kumbe unaitwa bramo humu? Umeona maushauri walionipa watu hapa? Nikumwage, nisirudi utaniuaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…