Nimfanyeje mpenzi wangu aache kutukana matusi tukiwa katikakati ya tendo?

Huyo demu jina lake sio Pili au Rachel maana hao ndio zao hao na wanajua kuikalia na mbuzi kagoma
 
Huyo ndo safi sasa… au huwa anakutukana wewe matusi yanayoendana na ukweli mkuu?
 
Mkuu unaishi na pepo la hatari sana,ukisikia Lucifer anakuja mzimamzima ndio huyo,na huyo atakuletea laana hata kwenye maisha Yako,mkuu huyo achanae
 
SHIDA YA JANDO BILA MAFUNZO, NASHAURI IRUDISHWE HAKUNA VIJANA WENYE AKILI TENA.WENZAKO TUNAKUTANA NA ZAIDI YA HAYO
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwamba kapata screpa
 
Acha utoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…