Nimkubalie au?

Nimkubalie au?

mxrereco

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
1,906
Reaction score
3,986
Wakuu habari.

Kuna ka binti ka kigogo ninekatoke juzi kati. Kakaniambia nikape wiki katanijibu. Nilivyokua nakachulia ni kama ka wife material hivi. In short niko kwenye kutafuta chaka langu la milele.

Sasa bwana nimesubiri hio wiki huku nikijitahidi kuwa romantic kwake kuongeza ushawishi. Sasa jana ndio iliku siku ya kupata majibu yangu. Nikakapigia sim hakakupokea, baadae kakanitext "nitumie sms". Mmh, tukaanza kuchati. Basi wakurungungwa nilitumiwa hizi sms mbili hapa chini.

Jaman masponsor mnatuharibia wake zetu watarajiwa. Sasa iv wanawaza kuhudumiwa tu na sio kujenga familia. Kama mnawahudumia hakikisheni mnawaoa kabisa.

Wanaume wenzangu hali ikoje huko, mmewahi kutana na hii? Yaani sharti la kukubaliwa anakuchana live umhudumie? Kwa uzoefu wangu, hata wale wa mizinga huwa hawatuambii live hivi. Utaona vizinga tu. Na nilichotegemea kwake kama angekua bint mwenye akili basi angenipa shart la kwenda kwao tufuate taratibu. Ningerukaruka kinoma ningemuona anaakili. Ila kwa hili natafuta chaka lingine hadi nikutane na mke wangu. Mm siko kwenye kampeni ya kupinga ndoa. Hawa wapinga ndoa ndio wanatuongezea single mother huku mtaani.

Sasa wakuu sijakajibu hadi sasa. Vip jamani nijilipue? Au itakula kwangu?
20230312_100008.jpg
 
Wakuu habari.

Kuna ka binti ka kigogo ninekatoke juzi kati. Kakaniambia nikape wiki katanijibu. Nilivyokua nakachulia ni kama ka wife material hivi. In short niko kwenye kutafuta chaka langu la milele.

Sasa bwana nimesubiri hio wiki huku nikijitahidi kuwa romantic kwake kuongeza ushawishi. Sasa jana ndio iliku siku ya kupata majibu yangu. Nikakapigia sim hakakupokea, baadae kakanitext "nitumie sms". Mmh, tukaanza kuchati. Basi wakurungungwa nilitumiwa hizi sms mbili hapa chini.

Jaman masponsor mnatuharibia wake zetu watarajiwa. Sasa iv wanawaza kuhudumiwa tu na sio kujenga familia. Kama mnawahudumia hakikisheni mnawaoa kabisa.

Wanaume wenzangu hali ikoje huko, mmewahi kutana na hii? Yaani sharti la kukubaliwa anakuchana live umhudumie? Kwa uzoefu wangu, hata wale wa mizinga huwa hawatuambii live hivi. Utaona vizinga tu. Na nilichotegemea kwake kama angekua bint mwenye akili basi angenipa shart la kwenda kwao tufuate taratibu. Ningerukaruka kinoma ningemuona anaakili. Ila kwa hili natafuta chaka lingine hadi nikutane na mke wangu. Mm siko kwenye kampeni ya kupinga ndoa. Hawa wapinga ndoa ndio wanatuongezea single mother huku mtaani.

Sasa wakuu sijakajibu hadi sasa. Vip jamani nijilipue? Au itakula kwangu?View attachment 2547146
Daaaah hivi kwann wanaume msiwe kama mr 💰 🤔🤔🤔🤔 wa tandale
 
Wakuu habari.

Kuna ka binti ka kigogo ninekatoke juzi kati. Kakaniambia nikape wiki katanijibu. Nilivyokua nakachulia ni kama ka wife material hivi. In short niko kwenye kutafuta chaka langu la milele.

Sasa bwana nimesubiri hio wiki huku nikijitahidi kuwa romantic kwake kuongeza ushawishi. Sasa jana ndio iliku siku ya kupata majibu yangu. Nikakapigia sim hakakupokea, baadae kakanitext "nitumie sms". Mmh, tukaanza kuchati. Basi wakurungungwa nilitumiwa hizi sms mbili hapa chini.

Jaman masponsor mnatuharibia wake zetu watarajiwa. Sasa iv wanawaza kuhudumiwa tu na sio kujenga familia. Kama mnawahudumia hakikisheni mnawaoa kabisa.

Wanaume wenzangu hali ikoje huko, mmewahi kutana na hii? Yaani sharti la kukubaliwa anakuchana live umhudumie? Kwa uzoefu wangu, hata wale wa mizinga huwa hawatuambii live hivi. Utaona vizinga tu. Na nilichotegemea kwake kama angekua bint mwenye akili basi angenipa shart la kwenda kwao tufuate taratibu. Ningerukaruka kinoma ningemuona anaakili. Ila kwa hili natafuta chaka lingine hadi nikutane na mke wangu. Mm siko kwenye kampeni ya kupinga ndoa. Hawa wapinga ndoa ndio wanatuongezea single mother huku mtaani.

Sasa wakuu sijakajibu hadi sasa. Vip jamani nijilipue? Au itakula kwangu?View attachment 2547146
Uhudumie kabla ya ndoa?

Mimi na ubahili wangu wote huu sikubali kutoa hela kiboya boya hivi na kama yeye ametanguliza zaidi hela kuliko upendo basi aende akaolewe na mawakala wa Mpesa wapo wengi tu mitaani.

Mwanamke akitanguliza hela zaidi jua siku ukiwa huna hela atakukumbia na kwenda kwa wenye hela hii ndio nature ya wakawake wa kisasa japo sio wote ni baadhi tu

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habari.

Kuna ka binti ka kigogo ninekatoke juzi kati. Kakaniambia nikape wiki katanijibu. Nilivyokua nakachulia ni kama ka wife material hivi. In short niko kwenye kutafuta chaka langu la milele.

Sasa bwana nimesubiri hio wiki huku nikijitahidi kuwa romantic kwake kuongeza ushawishi. Sasa jana ndio iliku siku ya kupata majibu yangu. Nikakapigia sim hakakupokea, baadae kakanitext "nitumie sms". Mmh, tukaanza kuchati. Basi wakurungungwa nilitumiwa hizi sms mbili hapa chini.

Jaman masponsor mnatuharibia wake zetu watarajiwa. Sasa iv wanawaza kuhudumiwa tu na sio kujenga familia. Kama mnawahudumia hakikisheni mnawaoa kabisa.

Wanaume wenzangu hali ikoje huko, mmewahi kutana na hii? Yaani sharti la kukubaliwa anakuchana live umhudumie? Kwa uzoefu wangu, hata wale wa mizinga huwa hawatuambii live hivi. Utaona vizinga tu. Na nilichotegemea kwake kama angekua bint mwenye akili basi angenipa shart la kwenda kwao tufuate taratibu. Ningerukaruka kinoma ningemuona anaakili. Ila kwa hili natafuta chaka lingine hadi nikutane na mke wangu. Mm siko kwenye kampeni ya kupinga ndoa. Hawa wapinga ndoa ndio wanatuongezea single mother huku mtaani.

Sasa wakuu sijakajibu hadi sasa. Vip jamani nijilipue? Au itakula kwangu?View attachment 2547146
Huo mtego rahisi sana

Jibu ni NDIYO tulishakubaliana kwenye vikao vyetu

Na pia kama. Ulimpa 100% ati ni wife material punguza mpaka zifike 60%

Mimi nilipigwa mzinga siku hiyohiyo dem ananikubalia, niliuruka lakini sikumwacha dem

It turned out Dem ni wife material sijawahi ona

So huenda ni mtego na ni lazima ufaulu, jibu ni NDIYO.

Ukishindwa nipe no yake PM
 
Uhudumie kabla ya ndoa?

Mimi na ubahili wangu wote huu sikubali kutoa hela kiboya boya hivi na kama yeye ametanguliza zaidi hela kuliko upendo basi aende akaolewe na mawakala wa Mpesa wapo wengi tu mitaani.

Mwanamke akitanguliza hela zaidi jua siku ukiwa huna hela atakukumbia na kwenda kwa wenye hela hii ndio nature ya wakawake wa kisasa japo sio wote ni baadhi tu

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Noted mkuu
 
Huo mtego rahisi sana

Jibu ni NDIYO tulishakubaliana kwenye vikao vyetu

Na pia kama. Ulimpa 100% ati ni wife material punguza mpaka zifike 60%

Mimi nilipigwa mzinga siku hiyohiyo dem ananikubalia, niliuruka lakini sikumwacha dem

It turned out Dem ni wife material sijawahi ona

So huenda ni mtego na ni lazima ufaulu, jibu ni NDIYO.

Ukishindwa nipe no yake PM
Senge wewe[emoji16][emoji23] nikupe namba tena?
 
Umemkuta anapendeza, ko kuna mtu anahudumia as of now. Anachomanisha n kwamba ukiwa na pesa unamkula,na tabia n kama ngozi,uyo ata kwenye ndoa atakuletea shida siku ukiyumba kiuchumi.
Hakuna wife material hapo,toa hela piga usepe mapema
 
Kwa mujibu wa hizo msg alizokutumia ni kwamba umekutana na kidangaji kizoefu.
Kitakupurusua mpaka upasue korodani kwa matumaini ya kukuta madini uuze ili umuhudumie zaidi.
 
Back
Top Bottom