Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 939
Habari za leo wanaJF.
Mimi ni mzazi na mtoto wangu ana umri wa mwaka mmoja, ningependa kujua nimpe vyakula/lishe ya aina gani mwanangu ili apate kurefuka kwa harakaharaka na kupata mwili kidogo?
Napenda sana mwanangu awe mrefu...
Asanteni sana..
Habari za leo wanaJF.
Mimi ni mzazi na mtoto wangu ana umri wa mwaka mmoja, ningependa kujua nimpe vyakula/lishe ya aina gani mwanangu ili apate kurefuka kwa harakaharaka na kupata mwili kidogo?
Napenda sana mwanangu awe mrefu...
Asanteni sana..
hahaaaa asante mkuuukama waliomzaa huyo mtoto ni wafupi, ni kawaida ila kama nyote ni warefu sio kosa lenu wala mtoto, ila ni kosa la mababu na mabibi zake
Ushauri
Mpe BIGIJII/ Au Bablish 3 kutwa × 6.. atarefuka tu..
asante mkuuukama shida ni urefu tu...akapimwe kwanza homoni husika kisha anaweza akachomwa sindano la ku-stimulate homoni za kumfanya arefuke mpaka utashangaa
me-170 na ke-162Ww height yako ikoje? Na ya mkeo pia itaje. Urefu unarithiwa kutoka kwa wazazi au ndugu wengine ila kwa kuongezea mfanye awe mwana michezo haswa basketball na pia apate protein kwa wingi sambamba na kupumzika wakati wa mchana.
Mbolea ya Chumvichumvi.
miss kwnye familia zetu kwa height niliyoitaja hapo juu sisi ndo wafupiGenetic matter kama kwenye familia mnazo toka hakuna mrefu .. Aisee inaweza kuwa bahati mbaya akiwa mrefu
Genetic matter kama kwenye familia mnazo toka hakuna mrefu .. Aisee inaweza kuwa bahati mbaya akiwa mrefu
ha ha hahaha aisee .. u made my day aiseeAisee, sistaaaa kwa mara ya kwanza sentensi yako haina fwezaaaa.
basi watakuwa wamechukua kwenu ... na kama wamechukua kwa wengine basi atarefuka tumiss kwnye familia zetu kwa height niliyoitaja hapo juu sisi ndo wafupi