Wana jf nna mdogo wangu aliyemaliza primary mwaka 2011,kwa sasa umri miaka 20(a boy)..alifaulu mtihani ila wa kumuendeleza akakosekana,kipndi hko mm nilkuwa JKT nastrugle ckuweza kumcompany..nimeajiriwa miez mitatu ilopita hapa dar(magereza) najiuliza nimpeleke wapi ajiendeleze kielimu na umri wake huu? Nae hataki kusoma ila anataka veta,..na elimu yake ya std 7 inawezekana kweli? Au nimsave vp?Nipeni wazo jamani.