Nimpende nani:asha,mariam ama jenny

Epuka mtandao wa ngonooooooooooooooooooooooooooooooooooiooooooooooooooooooooooo
 
Hivi kweli utakuwa tayari kufata ushauri wa wana jf? maana kila mtu atakuja na ushauri wake Nadhani wakati wakuchaguliwa wenza ulishapita.
 
jamani leo nikisema hapa nitakuwa mkali sana ila ebu kijana niambie wote hawa una toka nao as friends ama umesha propose kitu kwao?
 
jamani leo nikisema hapa nitakuwa mkali sana ila ebu kijana niambie wote hawa una toka nao as friends ama umesha propose kitu kwao?

Mimi ndio maana nimeamua kuwa msomaji tu maana nisijenikala ban ya kwanza tangu nizaliwe!
 
Ukiacha kazi hapo ukaenda sehemu nyingine utatuambia maneno hayo hayo. Hao wako weeeengi saaana tembea uone kaka.
kupenda watu hawashauriwi. Labda kama umgeni katika kupenda. na hata ikitokea tukakushauri katika tamaa ni sisi ndio tutakushauri kwa vigezo vyetu na sio vya kwako.
Tukikushauri katika tamaa utatuuliza tena " NIANZAJE KUMWAMBIA HUYO MLIENISHAURI?"
 
Mimi ndio maana nimeamua kuwa msomaji tu maana nisijenikala ban ya kwanza tangu nizaliwe!
alafu mie huwa nina hasira sana na watu ambao wanacheza na utu wa wenzao. ngoja nikae pembeni kwanza. thanks god he is not my Klein
 
Dah... Nimejitahidi niongee lolote juu ya mada nimetoka hola! Lol
 
unataka tuusemee moyo wako. acha tamaa wanawake wako wengi wazuri utapendaje watatu kwa wakati mmoja? haujielewi tamaa tu zimekuzidi huna haya!
 
Huu ni uongo kwasababu umewataja kwa majina yao na inawezekana kabisa wanaitembelea JF,kwahiyo utakuwa ushatibua dili lako wewe mwenyewe(in case ni ukweli).Women gossips,you know that.

Hii itakuwa changamsha genge tu.So mbaya kwa kupoteza muda kwenye ku chit chat huku MMU, kwasababu inawezekana kuna walioko kwenye situation similar to this one.
 
Dah... Nimejitahidi niongee lolote juu ya mada nimetoka hola! Lol
Huyo wa mwisho,"Jenny",tayari hawezi kuwa naye,maana kuna wakati anamdanganya yuko "shamba",sasa hapo hata hawaishi pamoja.lol!
 
Huyo wa mwisho,"Jenny",tayari hawezi kuwa naye,maana kuna wakati anamdanganya yuko "shamba",sasa hapo hata hawaishi pamoja.lol!

Kwa maneno mengine ni huyo Jenny ni way above his league, hapo naona kama nimpigie kura Miriam, aisee kumpata mtu ambae hakuboi 'guaranteed' is a blessing. Huyo Asha watashindwana tu sababu mleta mada inaonekana ana vi element vya u-play boy... Lol.
 

Taja sifa zako tuzidadavue hapa na kuona nani atakufaa.
 
"Loooh! Ama kweli nyakati za mwisho zimekaribia" Ushauri tafuta wanaojua kupenda wakufundishe the meaning of L O V E, then urudi tumalizie ushauri.
 
Mi ningekula wote tuuuu..........
Hawa viumbe wameumbwa kama burudisho letu tuuuu. Burudika kijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…