Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Hahaha, haya kamanda.Iyo 'shida' kwenye jina lako ungepambana uiondoe kuliko kuwaza iyo mideko..rubbish
Huyo ana deni kwangu.
ohooooHuyo ana deni kwangu.
Watakujaje wakati hajabainisha sifa zake? Au anadhani kuna mtu anaweza kupenda asichokijua hata chembeNgoja waje mkuu
labda yeye anawataka wa hivyoWatakujaje wakati hajabainisha sifa zake? Au anadhani kuna mtu anaweza kupenda asichokijua hata chembe
Nimekuja nimejaaa telee naona fursaHuyo ana deni kwangu.
Abainishe sifa zakelabda yeye anawataka wa hivyo
hahaha kwa hiyo ameamua kutangaza nia kijanja sio?Hahahha anaogopa kunifungulia uzi wa kunitongoza watamwita kichaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
nyinyi mabinti ndio wa kumkumbusha labda alisahau...au hana kabisa!Abainishe sifa zake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti au hana! Kuna mtu hana sifa? Nimemuelewa vyema, yuko jukwaa la chit chat hivyo anachangamsha gengenyinyi mabinti ndio wa kumkumbusha labda alisahau...au hana kabisa!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]muulize sasa mwanamke gan atamfata pm kama ameshaandika cha mdeko kuna fursa labda wale wasiolijua hilo jina wakazan anataka kudeka kama huyo aliyewahi siti alivyoccomenthahaha kwa hiyo ameamua kutangaza nia kijanja sio?
wapo wasio chagua ujueππ....wao yeyote kwao sawa tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti au hana! Kuna mtu hana sifa? Nimemuelewa vyema, yuko jukwaa la chit chat hivyo anachangamsha genge
Naona tupo watatu watu wamesusa uzi wacha tuchangamshe genge baadae tuende kule lindon[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti au hana! Kuna mtu hana sifa? Nimemuelewa vyema, yuko jukwaa la chit chat hivyo anachangamsha genge
ππkumbee sasa nimeelewa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]muulize sasa mwanamke gan atamfata pm kama ameshaandika cha mdeko kuna fursa labda wale wasiolijua hilo jina wakazan anataka kudeka kama huyo aliyewahi siti alivyoccoment
mpaka mwenye uzi nae kakimbiaNaona tupo watatu watu wamesusa uzi wacha tuchangamshe genge baadae tuende kule lindon
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Na mimi ngoja nikimbie, niwaache nyie wawili mmsubiri mwenyeji wenuNaona tupo watatu watu wamesusa uzi wacha tuchangamshe genge baadae tuende kule lindon
mpaka mwenye uzi nae kakimbia