Nilikutana naye kwenye daladala nikavutiwa nae tukabadilishana namba za simu, kutokana na ubize wa kazi nikajikuta wiki imepita bila kumpigia wala yeye hakunipigia. Asubuhi moja naamka nakutana na ujumbe huu kutoka kwake; "Hivi namba yangu ulichukua ya maonyesho au?"
Je nimpigie au nikaushe?
Ndo maana mshamba mshamba kama nanihii!Mimi wachato [emoji17][emoji17][emoji31]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Nyie jamaa hebu acheni kutuletea mapicha picha mnatuona watoto wenzenu au?
Siku ya 5 tangu nimeomba namba yake amenitumia ujumbe huu
Hata Mimi nimeiona kule jukwaa la MahusianoHii thread kuna mtu aliileta huku majuz tu
Ili iwe uchochezi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] malizia nanihii nini.....
Chato sehem gan?Mimi wachato [emoji17][emoji17][emoji31]