NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

Diwani hajawahi kuwa TISS kabla
 
Kama watafiti wenyewe ndiyo hawa walitengeneza hii kachumbari bora serekali isitoe fedha aisee
 
Mkuu Mheshimiwa JPM hongera kwa kuvunjilia mbali uozo wa Halmashauri ya Jiji la Dar.
Sasa tunakuomba ushukie NIMR kuna uozo zaidi ya ule wa jiji.
 
Wacha watu wapewe kazi waweze kulipa loan board
 
Naam, ni upumbavu mkubwa kuwa na NIMR kwa mfumo wa sasa.
 
NIMR ni upumbavu. Ifutwe.
 
yes i was talking about funding agencies. but then hata ukiielekeza serikali.. pesa watatoa?
structure ya Nimr ibadilishwe.. waajiriwe right minds.
the funds zije badae
 
Mheshimiwa JPM tunakuomba uiweke NIMR katika ratiba zako za ziara ya Dar unayoendelea nayo.
Fanya hata ziara ya kushtukiza tu, waambie wakuonyeshe matokeo ya utafiti kama ambavyo yanaonekana ya kilimo Uyole, Naliendele, Ukiriguru na sehemu zingine kunakofanyika utafiti. Wakuoneshe medical research na majibu ya changamoto za tiba walizoleta nchi hii, wasikuonyeshe mabango, dodoso, abstracts za makongamano ya huko kwa mabeberu wala vichupa vya michanganyiko waliyodesa kwa waganga wa jadi. Waonyeshe value for money kwa pesa ambayo wamekuwa wakipokea tangu 1980.
Tunakuaminia mzee JPM na umakini wako tunauheshimu. Ukishaona hayo basi mkuu uamuzi ni wako mwenyewe, tunajua una nia njema na nchi hii na hupendi mzahamzaha katika mambo serious ya nchi.
 
Teeh!! teeh! teeh! Babu sikiliza USA ni wazungu tu!! ndo wenye nchi kila kitu ni chao!! hkn mwingine na hata nyanyuka zaidi yao!! hata Obama ni mzungu yule aliandaliwa maksudi wewe!!

Hao sijui Latini, waarabu, weusi wenzako ni punda tu hawana jeuri pale hata nusu chembe!! ndivo ilivo! wazungu wanatawala kwa koo zao tangu enzi!

Hao walimu wako wa UPE walikulisha matango pori hawajui kitu Mkuu funguka mda ni mchache! angalia miaka 40 tu ya Uhuru , ndege 30, za kutuhudumia, tumesomesha vijana wetu, tumezalisha watenda kazi wa kutosha tumetandaza lami nchi nzima
hili nalo hujui tu? tuna waliofuzu mpaka kazi hamna kitu ambacho hao unaowapa sifa hawakuweza!!

Hao unaowasfu hawakuweza pamoja na elimu zao kubwa kubwa!! upenyo wa Madini alitoa mmachinga mwenzako!!! akaamua kujifia tu ajili ya stress!! Mzanaki alipinga hasa!! jiwe ndo huyo kawatisha!

Kawambie tuko ngangari tunakuja kwa kasi!! ya kutisha wao watuletee tu Al shaabab, sijui Nigeria lkn hawafui dafu dawa yao ipo jikoni sasa hao jamaa zako wanakufa na Covid Angalia sisi tunavopeta hayo machi wanaya kimbia soon!!
 
Hujui unachokiongea. Unadhani research Institutions zote duniani zimegundua hayo uliyoyasema. Lakini zime advance knowledge for betterment of human life/health in one way or another.........Kwa vile umejaa chuki, basi huwezi kuona any positive output from NIMR. Ngoja wale per diem safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, roho ikutange ufe na pressure ya kupanda na kushuka!
 
Hebu weka hapa orodha ya hizo knowledge unazosema zimekuwa advanced, na kwa kila moja useme taifa limepata faida gani.

Narudia kumuomba JPM atembelee taasisi hiyo na kuchukua hatua stahiki.
 
Naunga mkono hoja! Hawana tofauti na COSTECH! Bure kabisa!
 
Wewe ndo bure. Umewahi kulifanyia nini taifa hili, familia yako?
Wewe ni mzigo kwa taifa hili.
 
... wanasiasa watakuambia hujuma za mabeberu hizo; wanatoa grants halafu wanaelekeza ni tafiti zipi za kufanya ili kuvuruga malengo ya NIMR. Tuko vitani; ha ha ha!
''Anaye mlipa mpiga zumari ndio huchagua wimbo''. Hahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…