Naanza kuhisi kuwa serikali imekubali kuamka na kujitetea in ALL fronts na kwenye legal front hakuna ambaye angefanya hivyo isipokuwa Mkono.
...............Powerful than CCM?Mzee Es,
Worry a little. This Day na kulikoni wapo makini kaka..... Behind them kuna watu ambao ni very powerful.
FD
...............Powerful than CCM?
Hivi unajua kuwa kwenye hiyo move kuna BM pia ambaye ana machungu sana na Mengi sasa hivi kwa kumchimba mambo yake hivi karibuni, mzee wangu usione vinaelea bro!
Alisikikia hivi karibuni akiapa kuwa atawafundisha adabu hao Kulikoni/Thisday! nanawaonea huruma sana yatakayowajia hivi karibuni huu ni mwanzo as of data!
Hivi unajua kuwa kwenye hiyo move kuna BM pia ambaye ana machungu sana na Mengi sasa hivi kwa kumchimba mambo yake hivi karibuni, mzee wangu usione vinaelea bro!
Alisikikia hivi karibuni akiapa kuwa atawafundisha adabu hao Kulikoni/Thisday! nanawaonea huruma sana yatakayowajia hivi karibuni huu ni mwanzo as of data!
eeeeeehhh and how about your school scandals, we can blow this staff up, if you want to play dirty
Hapana nilikuwa najaribu kuwa realistic tu, maana tulisema kule nyuma kuwa Mkono hawezi kumtoa Blaza Dito rumande kwa kesi ya mauaji ambayo raia walishuudia kwa macho, akiua kwa bastola,
sio tu kwamba Mkono alimtoa Blaza Dito, rumande, bali mpaka leo kesi haijatajwa tena, na tulisema kuwa kuna waliomtuma Mkono kuchukua kesi ya Dito,
kwenye hili hatukuwa tunatisha ila tunajaribu kuwa realistic kufuatia the history ya Mkono na "kesi zake"! na deal zake kwa ujumla, sijawahi kusikia jamaa akishindwa kesi bongo, mpaka nje ya nchi yetu!