Kulikoni,This Day ni magazeti yaliyoamua kufanya kazi zake kikweli tu,hakuna cha mtu au watu wenye nguvu nyuma yake wala nini.Tuliyaona magazeti ya Rai yalivyokuwa na baadae kununuliwa na wakina Rostam.Lbda wakina Rostam watayanunua na haya.
Na kama kuna mtu kama Mkono anaona kuwa wanampaka,naye basi kinachoonekana hapa ni kuwa anatumia sheria zilizopo,kama alivyofanya kudeal nao,sioni kuna tatizo gani.
Mkono ana uhakika kuwa zile habari ni za uongo, kwa hio challenge ni kwa This Day ku-prove kuwa they were correct.
Facts wanazo,tuna uhakika huo,kwa sababu kama hawana then wanakuwa wana agenda nyingine zaidi ya hio. Kwa hio tusubiri tuone,je wata apologise?