Nimrudishie pesa zake?

Kiutu ... ungerudisha tu hizo fedha na
ku mwambia penzi la kweli halinunuliwi..

Kisheria.. hizo fedha ni kama zawadi .
Hujamuomba wala hujakopa.
Kwa hiyo hata akitaka kukushtaki hana kesi..
kama hakufanya internet transition basi atakuwa na deposit slip tu. .
Hamna paper uliosaini.

Kwa hiyo maamuzi ya mwisho ni yako ..
 
Mkuu pole na yaliyo kusibu zamani ujue uamuzi wako kama ulikuwa na uamuzi sahihi na mimi nakushauri usiwe fisadi wa nafsiyako na maliyako uliyoitafuta kwa tabu hivyo usichanganye halali na haram yake anataka kukununua hiyo ni hongo hata kama unashida uskubali kununuliwa mrudishie pesa zake hii ingine ni mitihani toka kwa mungu anakupima imaniyako mkuu hiyo sio halaliyako fkitia je mumewe anajua hilo ukipata jibu ligeuzie upande wako ungelikuwa wewe unafanyiwa hivyo
 
Kama hauna mpenzi tafta na umtambulishe kwake, siku akikutafta mpe simu mpenzi wako awe anapokea simu. Hela ifanyie biashara au toa msaada. am out
 
mkuu usirudishe pesa. Kama bado unayo, nina kistarlet changu twaweza fanya biashara ukabaki na ukumbusho wa fedha zake.
 
kula hela iyooo na akijileta we mpotezee ila uwe na majibu akiuliza kwanini ulikula hela zangu..!
 
Chanzo cha magonjwa hichi! Huyo dada kashgudundua kuwa Mme wake dinya dinya hovyo inje ya ndoa...yeye anakuitaji ili umtulize; Ukila hiyo hela tuu umekwisha..."Ukishatoka kwenye nyumba inayoungua usirudi kumuokoa mtu" utakufa wewe! Rudisha hela. Tena mwambie atunze ndoa yake! good day
 

Msamehe bana,....
Kwa tafsiri nilivyokusoma hapo juu
anakuomba msamaha umsamehe,
SIO mrudiane bana.

Hizo 4m/= ni kifuta machozi Kwakuwa imekuwa ngumu kwako kumsamehe.
Mrudishie na mwambie umemsamehe bila gharama yoyote ili
nyote wawili muishi kwa amani kila mmoja na njia yake.

Kila la heri.
 



kuRa heRa hizo wewe usiwe faRa, na akiReta zingine wee' kuRa tu hadi akome kuziReta hayo mengine ni maamuzi yako binafsi....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…