Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Nina mshikaji wangu mmoja hivi. Tunaelewana sana ila ana shida kidogo. Anapenda totos kwa sana. Tatizo lake ananambia kuwa akido tu nje mywife wake humuuliza kesho yake jana ulikuwa wapi na nani. Je ulitumia co***mu ama. Kisha hushuka valangati la kuua mtu. Mimi nimehisi huwa anaota hivyo kumpa mwanya mke wake kujua kuwa alikuwa kwa small house. Anaomba ushauri afanyeje!
natamani nipate mume wa design hii kwani ni rahisi kumdhibitiNina mshikaji wangu mmoja hivi. Tunaelewana sana ila ana shida kidogo. Anapenda totos kwa sana. Tatizo lake ananambia kuwa akido tu nje mywife wake humuuliza kesho yake jana ulikuwa wapi na nani. Je ulitumia co***mu ama. Kisha hushuka valangati la kuua mtu. Mimi nimehisi huwa anaota hivyo kumpa mwanya mke wake kujua kuwa alikuwa kwa small house. Anaomba ushauri afanyeje!
natamani nipate mume wa design hii kwani ni rahisi kumdhibiti
]Nina mshikaji wangu mmoja hivi[/B]. Tunaelewana sana ila ana shida kidogo. Anapenda totos kwa sana. Tatizo lake ananambia kuwa akido tu nje mywife wake humuuliza kesho yake jana ulikuwa wapi na nani. Je ulitumia co***mu ama. Kisha hushuka valangati la kuua mtu. Mimi nimehisi huwa anaota hivyo kumpa mwanya mke wake kujua kuwa alikuwa kwa small house. Anaomba ushauri afanyeje!
Aache mechi za ugenini..
mkuu hapo ushauri wa nini wakati anajua kabisa tatizo ni nini? aache kazi za nje tu
Imemuwia shida sana kuacha small house. Huwa anamkwepa hata kwa mwezi ama zaidi lakini small house huwa inamuibukia kiaina na akimwona tu ka mbwa na chatu!
Niweke sawa hapo kwenye red ni wewe au huyo rafiki yako.?
Nauliza nina sababu ya msingi kwamba kama ameweza kukwambia hayo yote kwanini hilo la kuwa anaota asikwambie?? Huyo ni wewe sema ukweli wako kama sio wewe basi rudi umuulize vizuri huyo mkewe hujuaje kama katoka nje??
]Imemuwia shida sana kuacha small house[/COLOR]. Huwa anamkwepa hata kwa mwezi ama zaidi lakini small house huwa inamuibukia kiaina na akimwona tu ka mbwa na chatu!
Umejuaje haya yote???!!
Dena, hii inaweza kuwa kweli...ni yeye tu mwenyewe anakuja kwa jina la rafiki yake!
Kwa hali hii, kuna safari ndefu ya kuondokana na ukimwi! Muogopeni Mungu jamani!!
Umeona eeehhh huyu jamaa anajichanganya mwenyewe mambo yote hayo atayajuaje???