Ushaniboa, sijui kama kuna m2 ameshakuambia, ila ukweli ni kamba watz /waafrika wanaume mnapenda kutongoza zaidi kuiko kutongozwa. Hii nalithibitisha pale ninapowaona wanaume wanaopata bahati ya kutongozwa wakiwaita hao kina dada eti ni makahaba. Ila tuelewe kuwa mahisia ya mapenzi ni kwa yeyote. Regardless of sexKuna demu nilisoma naye primary skul,kipindi hicho 2likuwa wote viranja ktk category ya usafi hapo skul, baada ya hapo 2mekutana mkoa flani 2kiwa vyuo tofauti, sasa anadai ananipenda na anaomba nimpe nafasi bt siko tayari na kiukweli sijamfeel kivile. Nifanyeje nisijenikamuumiza?
kwani amejieleza kama ana demu?Mbona unataka kujichanganya? mueleze kua uko na mpenzi na huwezi kumsaliti na wala hutaki kundanganya yeye sababu sio vizuri kwake wala kwa mchumba wako.
hana kabs nidhamu.Dah!mkuu hata salamu,au ndo huko maprofs wanawafundsha hvo?
Jitahidi kumfeelkiukweli sijamfeel kivile
Nifanyeje nisijenikamuumiza?
mmmh.bora nigune tu