hope it will help!kuna mbinu nyingi sana....
labda ungeanza kusema yeye huwa anaongea vipi??
unaweza kuwapata wanawake hata kama hujui kuongea...
kwanza kabisa ni personality yako ikoje.
pili pozi zako ziko vipi...
tatu how strong are u?
na mengine mengi.
yeye aliniambia kwamba anaongeaga 'straight' kwamba amempenda 'muhusika' na angependa wawe 'wapenzi' afu anamuuliza 'muhusika' unalionaje hilo? hapo ndio 'anachukua za uso'hujajibu bado...
huyo rafiki yako yuko vipi?
na huzungumza vipi na hao warembo?
yeye aliniambia kwamba anaongeaga 'straight' kwamba amempenda 'muhusika' na angependa wawe 'wapenzi' afu anamuuliza 'muhusika' unalionaje hilo? Hapo ndio 'anachukua za uso'
ooooooooh! i seeee! thanksha ha ha...
Wanawake hawatongozwi hivyo....
Kwanza ajifunze kupendeza na kutengeneza personality ya kuvutia...
Halafu asiwe direct sana ni bora akimwona mwanamke anayemtaka badala ya kusema nimekupenda bora aseme
nikutoe out weekend
au karibu lunch....
Au twende cinema jumapili....
Vitu kama hivyo....
ooooooooh! I seeee! Thanks
Kuna rafiki yangu fulani hivi amenilalamikia mara nyingi kwamba kila akijaribu kujielezea kwa 'wadada' anachoambulia ni 'kuchezea za uso na vidochi', Je, wana JF kwani kuna namna gani ya kuongea?? Nimsaidieje huyu jamaa kwani amekata tamaa kabisaaaaaa....
kuna mbinu nyingi sana....
labda ungeanza kusema yeye huwa anaongea vipi??
unaweza kuwapata wanawake hata kama hujui kuongea...
kwanza kabisa ni personality yako ikoje.
pili pozi zako ziko vipi...
tatu how strong are u?
na mengine mengi.
yeye aliniambia kwamba anaongeaga 'straight' kwamba amempenda 'muhusika' na angependa wawe 'wapenzi' afu anamuuliza 'muhusika' unalionaje hilo? hapo ndio 'anachukua za uso'
ha ha ha...
Wanawake hawatongozwi hivyo....
Kwanza ajifunze kupendeza na kutengeneza personality ya kuvutia...
Halafu asiwe direct sana ni bora akimwona mwanamke anayemtaka badala ya kusema nimekupenda bora aseme
nikutoe out weekend
au karibu lunch....
Au twende cinema jumapili....
Vitu kama hivyo....