Nimshughulikie au? Naombeni ushauri

We vipi hiyo ngoma unagonga! yeye ametaka mgongane kwani amekwambia anataka ndoa?
We zubaa zubaa Unaweza kuta hata mchumba wako wenzio wanakula, ndoa kitu ingine kabisa!
 
Man acha hizo hit and run jombaaa.Hivyo mbona vituo tu kwenye safari wakati inaendelea ila ndomu muhimu kaka.
 

Ng`wana Madeleke! uyomba kenehe?
kula mzigo huo fastaa! unatudhalilisha wanaume! ebo!
 
Usimshughulikie wala nini, mweleze wazi kuwa una mchumba na ikiwezekana kata mawasiliano naye.
 

Kisukari, unafahamu kitu kinaitwa NYEGE BWIMA? au NYEGE MSHINDO? hizo zikikutembelea dini zote unasahau, tena usipoangalia unaweza kubaka mtu! waulize wanawake wenzio!

katika swala la nyege hamna cha padri wala sheikh wala sista! as long as you are a human being NYEGE ni NYEGE tu!

Huyo dada wa Morogoro inaionekana alikuwa na kiu ya kufa mtu, na since jamaa alikuwa ana play u gentleman, akashindwa kuendelea kusubiri mpaka aanze kutongozwa, akaamua ajilipue! wanawake wengi sana dunia ya leo kama kaku mind na anaona una domo zege, anajilipua tu!
 
Sasa Jiulize Condom Kazipata wapi na zanini kwa yeye mwanamke, mtu haukai nae mmekutana tu kwenye basi umejuaje kuwa ni muaminifu? Kwanza Surprise za kukaliana uchi ni za kimalaya tu, hakuna mtu aliyemwema akamkalia mwenzake uchi eti ana mu attract, chukua hatua na usipende kujiridhisha kwa kila unachokiona.
 
ukiona manyoya kashaliwa huyo anajificha kwa kivuli cha dini, dini anayo sasa ungesema dini gani maana siku hizi....
 

Ndugu yangu kama kweli ulifanya hivyo, nivema, lkn inanwia vigumu pia kumuamini huyo mchumba wako kwani uchumba c ndoa, pia chuo ni jini kwa wasichana, hasa wa leo, kwani kuna quiz na hom wks pamoja na mitihani ya mwisho inajazwa na walimu wenyewe, unaweza mkataa huyo leo kumbe mchumba anamtazamo hasi, lkn ni vema ukautii moyo wako kwani wanaume waliopita kama ww wengi na wakashinda.
 
Inaonekana haujakamilika..kamuone docta kwa msaada zaidi
 
hili jamvi linazid kuchafuliwa kila siku na mihadithi ya kufikirika utafikiri kurasa za shigongo kweny global publishers.sas unaomba ushaur kweny li hadithi lako la kiboya peleka kwa shigongo sio hapa.
download complete..
 
acha kuendekeza zinaa, itakuangamiza,

ww amekudanganya kuwa wengine amewakatalia lengo ni kuteka hisia zako ili uone kuwa ww ndo wa kwanza kufungua kitabu wakati sivyo. hata kama ingekuwa hivyo huo ujasiri wa kukufanyia hivyo umetoka wapi, kama sio mtu mzoefu

kila aziniye na mwanamke hana akili, anajipalia makaa ya moto katika kifua chake akidhani hataungua kumbe sivyo mithali 6

kama zinaa inakusumbua nashauri uoe na utulie na mke wako
 
Anamlea tu na msg zake za mapenzi halafu mchumba akirudi atakuja kuomba ushauri Anatumiwa msg za mapenzi akiwa na mpenzi wake afanyaje? Its now or never! Mpige stop sasa hivi na kama mnaendelea kuwa marafiki weka mipaka. Ukitembea nae tu ujue amekuganda.
 
Acha uwongo wewe dogo, ulikua unatoka kupiga mzigo aften posten ndani ya T-ban ukakutana na huyo binti naye kachoka kurusha, ndio mkaamua muende kupunguza uchovu kwa kula mzigi, dogo acha kuzuga wewe! Sinsen na morogoro wapi na wapi bana!! acha hizo wewe kula tu mzigo basi!
 
Mkuu kuna dosari....uliwahi kumuuliza kama ana boyfriend? kwa sifa na urembo ulioumwaga hapa ni lazima angekuwa committed. Jambo la kumcha mungu lisikufanye ujiaminishe, chukua tahadhari.
 
Mimi naamini haukuwa mkweli na huyo binti, kama ungeweka wazi kama relation ni platonic asingepagawa. Naamini kuwa hajui pia kama uko engaged, umelikoroga sasa linywe.....
 
mmh hapo kuna namna ucjecheka na nyani ukavua mabua heri ya jana kuliko leo,be wise men
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…