Nimtongoze anikubalie, halafu umtumie majeshi badala ya kupambana na mimi

Nimtongoze anikubalie, halafu umtumie majeshi badala ya kupambana na mimi

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Hii imekaa kiwaki sana. Nimejaribu kuassume tokea majuzi, naona haiingii akilini kabisa. Mfano ulio hai, nina mke, Mama Chanja. Kusema kweli ninavyovipata kwa Mama Chanja sijawahi kuridhika, kwanza nimezoea na isitoshe siku ninapoitaka, yeye anakuwa out of mood, siku ambayo nimepiga zangu vileo nimechoka, yeye ndo anautaka. Shuwain

Niliamua kutafuta kajenereta ka siri ambako ni kabinti X ka jirani yangu, tukawa tunasambaziana upendo japo kwa siri na tahadhari kubwa sana, usiri huo sio kwamba namuogopa Mama Chanja, bali sitaki wanangu walelewe na mzazi mmoja. Itokee Mama Chanja ajue kuwa mimi ninatoka na binti X, halafu atafute migambo wamteke huyo binti na kwenda kumfanya kitu mbaya ikiwa ni pamoja na kupita barabara linaloelekea Peruu. Kosa la binti liko wapi? Kwanini wasinikamate mimi?

Same applied nimetongoza mke wa mtu kanikubalia, tumekuheshimu tukaamua kwenda kufanyia ufuska mbali na eneo ulipo, yaani sijadiliki kuingia kwenye malango ya chumba chako ama kupanda juu ya godoro ulilolinunua kwa jasho lako. Halafu upate fununu uamue kutuma vijeba waje kwa lengo la kunitindua, umeambiwa hiyo mali safi imepachikwa kutoka kwenye ubavu wako?

Hii sio haki. Hili nalo serikali ikalitizame kwa kina!
 
Kwa wanandoa/wenza adui/rafiki namba Moja ni mwenziooo.
 
Matatizo mengine ni ya kujitakia wewe mwenyewe
Kivipi mkuu? Ndoa zisiwe sababu ya kurudishana miaka ya nyuma ya 1945. Kila mtu abaki na uhuru wake, kikubwa mali zako ziko salama, mke / mume si mali yako, ni mali ya Mungu na Serikali kuu
 
Nyie ndio huwa mnakutwa ndani mmechomwa moto na wake zenu. Si uachane na ndoa uwe free to mingle, unatuandikia hapa Ujinga wako wako, inaonekana upo level namba 2 ugonjwa wa akili, pyeeee mtu mzima hovyo
 
Shangaa wewe,na huyu mwanaume ajiandae kumwagiwa maji Moto na mkewe akiwa usingizini...anaishi na mwanga
Inasikitisha sana. Kwa tukio lililomkuta binti wa Yombo, kabla ya kuanza na wajeda, wangeanza na huyo mwanamke askari, wakimfanye kama walivyomfanya binti wa watu, ili aone kama ni raha. Hakika wasimpatie hata tone la maji, hata kama ataomba kwa uchungu wote
 
Inasikitisha sana. Kwa tukio lililomkuta binti wa Yombo, kabla ya kuanza na wajeda, wangeanza na huyo mwanamke askari, wakimfanye kama walivyomfanya binti wa watu, ili aone kama ni raha. Hakika wasimpatie hata tone la maji, hata kama ataomba kwa uchungu wote
Huyo haitakiwi kupiga kelele.....kimyakimya
 
Nyie ndio huwa mnakutwa ndani mmechomwa moto na wake zenu. Si uachane na ndoa uwe free to mingle, unatuandikia hapa Ujinga wako wako, inaonekana upo level namba 2 ugonjwa wa akili, pyeeee mtu mzima hovyo
Ndoa ni wajibu, umri ukifika ni lazima uingie, lakini isiwe sababu ya kunyimana uhuru, kama nitatoka nje, na wewe toka, tukutane asubuhi, na sio kumtenda ubaya mwanamke mwenzio
 
Msaliti wa kwenye ndoa pamoja na yule anayeshiriki naye kwenye usaliti wanatakiwa kufa kifo cha kikatili baada ya kupewa mateso makali.
Kama ni kweli alitembea na mme wa mtu basi alichofanyiwa yule binti ni nusu ya kile anachostahili.
 
Serikali hairuhusu kujichukulia sheria mikononi. Mihemko ndio inafanya iwe hivyo.
 
Inabidi usaini huu mkataba
1000541395.jpg
 
Aiseee ww jamaa hapa una tafutaa uliwe na kilainishi au kohoziiii..
Kwanini mkuu, kwani hiyo mbususu ulizaliwa nayo? Yaani Mama Binti azae kwa uchungu, halafu uchungu uuhisi tena wewe. Labda uniambie umekuta namchakata kitandani kwako, hapo ndo utakuwa na mamlaka ya kunipakaza futa kwa kuwa nakikosea kitanda chako heshima kwa kuwa ulikisaka kwa shida
 
Kwanini mkuu, kwani hiyo mbususu ulizaliwa nayo? Yaani Mama Binti azae kwa uchungu, halafu uchungu uuhisi tena wewe. Labda uniambie umekuta namchakata kitandani kwako, hapo ndo utakuwa na mamlaka ya kunipakaza futa kwa kuwa nakikosea kitanda chako heshima kwa kuwa ulikisaka kwa shida
Mm cna mmengi mkuu kama unakulaa mke wa mtu ww kula tu ,ila omba usikutwe na wenye uchungu na wake zao..au wazee wakukomoa Wala utapata nguvu yyt yakusema hayaa
 
Back
Top Bottom