Nimuapuke vipi huyu msichana?


asante kwa kwa ushauri ngoja nimlipukie tu sweetlady
 
Last edited by a moderator:
akituma tu hizo picha zake nimfyatukia bila kumshelewesha

Hapo hakuna cha kumuelewesha Manyanza....huyo anakutega vile anajua sahivi unajua kuwa hana mtu.....ameshindwa kukwambia live so anakutega kwa picha kwanza.......akituma mwambie plz nakuheshimu kama rafiki na hizi picha zako sizifurahii so kama unapenda urafiki wetu uendelee kudumu plz stop it! Akichukia kimpango wake lol!
 
Last edited by a moderator:
kama una bibilia au quran tukufu piga picha na wewe na mara zote akituma picha na wewe mtumie hizo za kwako na maneno yasiokuwa na maudhi
 
hahaaa, siwezi kujihami kihivyo mkuu maana anajua kabisa mimi Girlfriend yuko mbali na mimi ninachotaka nitafute njia nzuri a kumkwepa,

talk to her in person n in black n white. u will help her as well.
yaweza tu kuwa huyo bint hajitambui na kwa kutojitambua kwake wanaume mnakuwa wahanga (waliokutangulia na wewe if u get on board)
 
Mwambie hufurahishwi na tabia yake!
 
na wewe mtumie za kwako uone atajibu au atakaa kimya
 
Mkuu hapo wewe mwenyewe ndiyo unamlea,kama humtaki na kama kweli hupendi tabia yake hiyo mwambie aache.
 
Manyanza 16:15 Today :
Te te teeh..! Ama kweeli kwenye miti
hakuna wajenzi. Nipe number yake coz
nipo single. Nitumie kwenye 0657 511 117

By Kifarutz
serious? na akikuuliza utamwambiaje? mimi
nataka tu asiendelee kunisumbua



haha sasa nimeamin ww unampenda unataka tu ku-justify infidelity tu hapa. maana watu wanaomba namba wakusaidie ilo tatizo we unakua kama unasuasua flan iv. toa namba iyo.watu washughulike nae! wamuweke busy
 

nitaku PM kaka usijali
 
hua mimi si mjibu akinitmia kwenye WhatsApp hizo picha zake huwa namjibu text sms ya kawaida tu, mimi nimelileta hapa ili nipate solution ya hili jambo nimkwepe vipi?

chakufanya ungeacha hata kujibu kwa sms maana hawezi kuacha kutuma txt zake ikiwa wewe unamjibu,hebu kuwa na mawazo makubwa,kwa kifupi acha kumuweka karibu kwa njia ya sms.
 
weka picha hizo ili tuzone kama ni kweli.
 
Wewe mtumie za porn muambie kua umeshazoea kuona hivyo vitu
 

block. her only
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…