Nimuingie kwa gia gani huyu binti mama mwenye nyumba kawa kikwazo

Nimuingie kwa gia gani huyu binti mama mwenye nyumba kawa kikwazo

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Nimetoka mkoa a kwenda b baada ya kukaa geust miez miwili nikaona isiwe kesi ngoja nitafute dalali anitafutie chumba, chumba kikapatikana ila hiyo nyumba anaishi binti pekee, nyumba ina vyumba vi tano basi mi nikalipia vitatu kwa siku ya kwanza naingia nilivyomwona hata sikuwa na shobo nae hata salamu sikumpa siku ya pili baada ya kumtazama nikagundua anafaa kuliwa nikaanza mitego ya kiume dah sijui mama mwenye nyumba katokea wap kaanza kujibebisha mara aingie chumban kwangu mara aniletee chakula wakuu kunakumla binti kweli? hapa na sio mtoto wake ni mpangaji mwenzangu
 
Kwanini asilike aiseee kama ikikufaa kula kuku na mayai yake.
 
Ungekuwa mwanangu ningekugonga ngumi kwanza halafu ndio ningekushauri ukiwa unatoka damu na kamasi puani.
 
Siku hizi nimeanza kujisikia aibu kuitwa mwanaume, maana tunaonekana wote ni walewale. Sasa Uzi huu umeandikwa na mwanaume timamu kweli?
haya ndio madhara ya kutokwenda kanisan ngoja nipo kwenye s.g.r linaenda kasi kweli ngoja nishuke niandike upya
 
Kwanini asilike aiseee kama ikikufaa kula kuku na mayai yake.
mtoto si wakwake ni mpangaji ila ni chombo hapa nimetoka muuliza mama mwenyenyumba kuhusu huyu bint kanijibu utumbo we ngoja aone
 
Back
Top Bottom