Nimuombe msamaha EX au hahusiki?

Nimuombe msamaha EX au hahusiki?

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Nikiwa advance, nilikua na mahusiano na dada wa form 4, nikiri alinipenda, ila mimi sikuchukulia serious mahusiano haya, na mwisho wa siku nilimwambia tuachane kwa sababu ambazo hazikua na msingi.

Tukiwa alikua ananitafuta kwa simu akilia sana, alilia kama wiki hizi kila akinipigia najibu ninavyojisikia, mara ya mwisho aliniambia tu " sawa na wewe utakuja kuteswa kama unavyonitesa"

Manaeno haya yamekua yakijirudia akilini mwangu kutokana na misukosuko ninayokutana nayo katika mahusiano,

Mpaka sasa baada ya kuachana nae, nimekua mtu wa kupigwa matukio tu na wanawake, wengine hata huwezi kudhani kama angekuja kua hivyo anavyofanya.

Hapa ninapoandika pia nimetendwa, nafikiria labda nimuombe msamaha yule dada? Au ni fanyeje?

Unaweza ukasema "tafuta hela" lakini ukweli ni kwamba hao wanawake wote walionitenda sio kwamba wako above ya level yangu, na wengi nimewasaidia mambo mengi sana, wengine had backup ya mambo ya elimu na hata msaada kwa ndugi zao,

Nakosea wapi?
 
.........karma is real ingawa pia ni imani tu, huyo bibie unaweza kumuomba msamaha kama lengo ni kurudiana baada ya kurealize kwamba ana mapenzi ya kweli kwako kuliko hao aulionao saiz, usijidanganye kwamba uombe msamaha eti Ili mambo yako na hao wanawake ulionao yakae sawa, hakuna kitu kama hicho..........
 
Nikiwa advance, nilikua na mahusiano na dada wa form 4, nikiri alinipenda, ila mimi sikuchukulia serious mahusiano haya, na mwisho wa siku nilimwambia tuachane kwa sababu ambazo hazikua na msingi.

Tukiwa alikua ananitafuta kwa simu akilia sana, alilia kama wiki hizi kila akinipigia najibu ninavyojisikia, mara ya mwisho aliniambia tu " sawa na wewe utakuja kuteswa kama unavyonitesa"

Manaeno haya yamekua yakijirudia akilini mwangu kutokana na misukosuko ninayokutana nayo katika mahusiano,

Mpaka sasa baada ya kuachana nae, nimekua mtu wa kupigwa matukio tu na wanawake, wengine hata huwezi kudhani kama angekuja kua hivyo anavyofanya.

Hapa ninapoandika pia nimetendwa, nafikiria labda nimuombe msamaha yule dada? Au ni fanyeje?

Unaweza ukasema "tafuta hela" lakini ukweli ni kwamba hao wanawake wote walionitenda sio kwamba wako above ya level yangu, na wengi nimewasaidia mambo mengi sana, wengine had backup ya mambo ya elimu na hata msaada kwa ndugi zao,

Nakosea wapi?

Jibiidishe na masomo au shughulo za kujiongezea kipato, mima kaka yako nakwambia hakuna jipya kwenye mapenzi, utayakuta yamejaa ukiwa na hela.
 
Karma is a bitch mzee baba .... ama tuseme ' what comes around goes around ' ukishindwa kuelewa Soma Newton's third law states that for every action there is an equal and opposite reaction. Asante
 
mara ya mwisho aliniambia tu " sawa na wewe utakuja kuteswa kama unavyonitesa"


Hapo[emoji115]ndipo pakurekebisha.
 
Back
Top Bottom