Nimwache akapange au niondoke mimi?

Kasie umewahi kukaa kwenye mahaba motomoto kwa miaka mingapi na starehe ulizifanya kwa miaka mingapi tunataka tujifunze kutoka kwako

Kwa sasa niko kwenye mahaba motomoto muda mrefu tuu na starehe tunazifanya na Dadii kwa wakati huohuo.

Mkiheshimiana Mahaba kila siku yanakuwa mapya na matamu na hata hamchokani.

K' Matata.
 
Kwa sasa niko kwenye mahaba motomoto muda mrefu tuu na starehe tunazifanya na Dadii kwa wakati huohuo.

Mkiheshimiana Mahaba kila siku yanakuwa mapya na matamu na hata hamchokani.

K' Matata.
Kasie kila unapoandika unaweka K' Matata shauri yako kila siku inataka kuibua swali ila... inaweza ikawa na maana 2 tu basi. ntakwambia maana ya iyo nyingine siku nyingine
 
Kasie kila unapoandika unaweka K' Matata shauri yako kila siku inataka kuibua swali ila... inaweza ikawa na maana 2 tu basi. ntakwambia maana ya iyo nyingine siku nyingine

Usihangaike sana, kuna uzi maalaum wa K' Matata.

Utafute unaitwa mnyambulisho wa K' Matata.
 
Nilishausoma ulificha kitu flan hujawa muwazi kivile sasa niachie na mimi nitoe maana yake siku nyingine
Usihangaike sana, kuna uzi maalaum wa K' Matata.

Utafute unaitwa mnyambulisho wa K' Matata.
 
Pole sana kiongozi. Katika haya uliyoyasema nimeona yafutayo
1. Mwanao anatumika kama mtaji kwako. Na inaonekana mkeo ameshajua kuwa kwenye ishu ya mtoto husemi kitu......
Kwenye hili unakosea sana. Kwa kumtumia mtoto UTAPATA TABU SANA... Kumbuka, kuna watoto hawana wazazi na wanishi. Sembuse wewe ambaye upo na una uwezo wa kumhudumia. Kuendelea kuishi na mtu wa hivyo UTAKUJA KUFA KWA PRESHA AU UFANYE KITU CHA AJABU HAPA DUNIANI HADI UJE KUJISHANGAA.... Mwache akapange na utatakiwa kumpunguzia mahitaji. Maana akishahama, atamtumia sana mtoto kupata hela. IKIWEZEKANA TENGENEZA MAZINGIRA AKUPELEKE USTWI WA JAMII, Huko lazima ukang'ang'anie kupeleka hela ustawi na yeye akazichukulie kule

2. Unafanya maamuzi ya kukaa kimya na kutochukua hatua IN THE NAME OF naepusha shari... Hii ni hatari.. Kaa kimya lakini lazima uchukue hatua. Unatukanwa mitusi ya HAJA eti unakaa kimya..!!!! UNADHANI HALI HIYO ITAISHA LINI? CHukua hatua... Mpeleke kwa wazazi wake au ndugu zake wengine mkayazungumze. UKIACHA, UTAKUJA FANYA MABAYA NA MENGINE YA KUUWA AU KUISHIA GEREZANI

3. UTARUHUSUJE NDUGU ZAKE WAKUTUKANE? HOW YAANI..!! Na inawezekana anapanga hayo na ndugu zake. Kama wana uwezo wa kukutukana kiais hicho, IPO SIKU WATAKUPIGA MAKOFI na nhutakuwa na cha kufanya

4. Umeacha hali imekuwa kiasi cha ndugu wa mkeo kuwatukana ndugu zako...!!! WHAT KIND OF FAMILY unaijenga? Huoni kwamba uwepo wake umesababisha magomvi katika familia? TO ME, KWENYE HILI UNAIHITAJI KU-DISPLINE MMOJA KATIKA NDUGU ZAKE ILI WATIE ADABU. Na wakiona wanakuweza, hawataishia hapo. KUNA SIKU MAMA YAKO MZAZI ATAKULA MAKOFI, kama si toka kwa mkeo basi NDUGU ZAKE....

5. HOW dare you...!!!! Umenunua vitu, unamuamisha mkeo, unaacha maamuzi kuwa vyombo viende kwenu, all of the sudden, VITU VYOTE VINAKWENDA KWA NDUGU WA MKEO, and you are there watching vinaenda...!!!! HOW DARE YOU ...!!!!! Yaani mkeo hafuati instructions zako bado UNATAKA UKALIPE MAHALI...!!!! MY FRIEND, KAMA AMEWEZA KUFANYA HAYO KIPINDI CHA KUBEMBELEZA NDOA, EXPECT DISASTER HUKO MBELE YA MAISHA ...>>!!! TRUST ME... nakushauri umuache huyo mwanamke... MATABIA ALYOYAONYESHA MAGUMU SANA...

6. Hiviii..!!! inakuwaje hela nyingi unazompa mkeo, ni baada ya kuwa na hasira tu? Yaani wewe unatoa hela ili kuzuba mdomo wa mwanmke wako asikutukane au asifanya maajabu..!!! HAYA, BAADA Y AKUMPA HELA MARA KADHAA KWA HASIRA, ameacha ujinga wake? Na kwa kumpa kwako mara nyingi kwa sabau ya hasira.. MWENZIO KESHAJENGA KICHWANI KWAKE KUWA, ILI APATE HELA KWAKO, LAZIMA AFANYE UJINGA....Hayatakuwa na mwisho hayo..... HATA NINGEKUWA MIMI, KAMA NIKIKUUDHI NDO UNATOA HELA... naanzaje kuacha kukuudhi?

MWISHO NAKUSHAURI MUACHE KABISA... MATESO UTAKAYOYAPATA KWA KUISHI NAYE MAISHA YAKO YALIYOBAKIA YATAKUWA MAKUBWA SANA..... Matatizo ya kisaiklojia utakayo mpitisha mtoto wakati mkiishi pamoja ni makubwa kuliko mkiachana....

Ngali K
 
Na alikuwa mtu wa kulalamika na kunitumia sms za matusi[Zipo Zote] kunitukana lakini sikuangalia hayo maana imani yangu ilikuwa ni kujenga familia na huyo dada.
DAH AISEE WATU SIJUI MNA UVUMILIVU WA AINA GANI..MI SIWEZI NAMZINGUA MAPEMA KABISA..SMS ZA MATUSI..HAPANA...LABDA MI NINA TATIZO MAANA HAPO MI NAONA KAMA ULIANZA KULEA UJINGA MAPEMA
 
Nikajisemea kuwa akifika nitamhoji anieleze vizuri, lakini alipofika alikuwa ni mtu mwenye maneno mengi sana na matusi makali, niliamua kuachana nayo hayo na kufungua ukurasa mwingine wa maisha (Kumsamehe)
MPAKA HAPA WE NI ZOBA SASA SIO BURE
 
maana jambo hili limenichosha sana. binti ni mzuri but tabia zimenishinda
HATA ULIVOMALIZIA BASI TU HATA KUKUITA ZOBA BBWEGE NIMEPUNGUZA TU MAKALI,...WEWE NI MS....FALA KABISA...WAPO WASHAURI WANAKUSHAURI TU SUIWAZE..BASI KAMA NI MZURI VUMILIA MATUSI NA MSIKILIZE KILA ANACHOTAKA....USIMUACHE MSIKILIZE TU VUMILIA KILA KITU...BWEGE KABISA WE TUOMBE MSAMAHA WANAUME WENZAKO
 
Baba yake ni Mjita na mama yake ni Muhaya, lakini wazazi wake walishatengana hawako pamoja
Hahahahhahhahhahhah yan hapo ndo nimepata sababu ya yote anayoyafanya, ogopa sana kuoa mwanamke wazazi wake wametengana na watoto wakakimbilia kwa maza asiye na akili akawalea kwa kuwalisha sumu kuhusu baba yao, wakifika kwenye ndoa wanaanza kufanya practices, hayo in malezi wala hutambadirisha kwa lolote lile, pigs chini ndo ushauri was mwisho, yaliwah kunikuta hayo
 
Nimesoma story yote Na geji ya hasira ilikua inazidi kupanda hapa nilipo nimebadilika rangi nimekuwa mwekundu Na nilichogundua Umetoka kwenye familia yenye upendo wa AGAPE..!! Aiseeh we jamaa ni mvumilivu sana sana!! huyo ilitakiwa apate mtu kichaa kama mimi..!! Mwanamke kamwe nasema kamwe hawezi kuniletea ujinga anaokufanyia wewe!!
Nasema angekua na mimi angepata tabu sana nasema angepata tabu sana!! hayo yote aliyokufanyia kwangu asingejaribu.
Kisa mtoto? Nop Nop Upuuzi sitaki kabisa.
We jamaa una chembe chembe za ulokole ndani yako.!! wengine tunazo lakini mwanamke anavotaka kupanda kichwani huwa zinaondoka.
Pole sana kiongozi.
 
Nilimvumilia nikijua atabadilika lakini kadiri siku zinavyokwenda hali inazidi kuwa mbaya zaidi, maana mpaka sasa kajenga uadui na ndugu zangu na mama yangu pia bila sababu yoyote
We huchepuki? Au hajawahi kukufumania?
 
hasira zimenifanya nisimalize kusoma hii hadithi yako.
kiufupi tu...inatia hasira sana. hata shetani anakushangaa
 
Anakutukana? Mwanamke unaishi naye ndani anakutukana? How? My fellow men nisaidieni...

Ni matusi gani hayo? Ya nguoni au yapi????
 
Usioe kichaa huyo chukua mwanao mwache akaishi anakotaka dunia itamfunza tu......mwanamke gani mwendawazimu huyo we nae una moyo sana hongera ingekua me ndiye mwanaume nilishafukuza hiyo mburukengez zamani sana
 
Anakutukana? Mwanamke unaishi naye ndani anakutukana? How? My fellow men nisaidieni...

Ni matusi gani hayo? Ya nguoni au yapi????
Huyu labda karogwa ....hata nichukie vipi siwezi kumtukana mwanaume wangu zaidi nitanuna hata mwezi siongei ila sio matusi
 
Kasie,
Kama ndoa ndizk hizi hakika sioi ng'ooo!!
Wakati wa mahaba motomoto wapenzi (me na ke) wangekuwa wanafanya starehe zao hata miaka 3 bila kuzaa, ingepunguza sana kesi za ustawi wa jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…