Nimwache akapange au niondoke mimi?

Mungu ameumba watu wavumilivu sana. Wewe kiboko ya uvumilivi [emoji120][emoji120]
 
Na wewe unamatatizo. Unaviliaje upuuzi wa namna hii. Mwisho akutie dawa ukufe. Chanachana tupa kwenye dustbin *****
 
Sijamaliza hata kusoma nimepata hasira natamani kucharaza viboko kabisa hivi wewe ni mwanaume? Unamdekezaje mwanamke kiasi hicho alaah


Mwanamke siku ya kwanza anatakiwa awe mdogo kama piriton ajue nimeingia kwenye mamlaka akijua hilo hatakutesa nje ya hapo tegemea mateso
 
Maisha yakutese mke akutese na watoto je

Kweli konki konki konki masta anapaswa awalime migumi ndo mjue
 
Wewe mwanaume mjinga sana haijawahi kutokea pumbavu mkubwa wewe.

Sisi wanaume wa kanda ya ziwa hatuko hivyo

Yaani ww ni mpumbavu mkubwa sana

Acha tu nikwambie ukweli ww ni mpumbavu sana,

Na hapo endelea kutengemea kuwa maskini huwezi kupata maendeleo kwa huyo mwanamke

Hizo ela mara mia ungekuwa unamtumia mamako

Duuu wanaume wengine kama zoba

Akili yako ndo utajiri wako na umaskini wako.
 
Kasie,
Kama ndoa ndizk hizi hakika sioi ng'ooo!!

Ooohoo Sweet Mangiii, tafadhali usichukue neno kutoka kwangu, na usipooa kile kihamba utapewaje sasa??!!

Halafu wazee wa kichaga hawawezi kukuacha tuu hivihivi ati usioe... waalah utaletewa Manka chumbani kwako umuoe kinguvu hehehhehee.

Oa bana mie nije kula mtori kwa wifi.
 
Jamaa mpumbavu Sana wewe,chukua mwanao mlee Kama bado mdogo mpeleke kwa Bibi ake akusaidie wakati unaangalia msaidizi,acha uboya kumng'ang'ania huyo demu
 
Duuuuh mkuu unaroho NGUMU SANA....!! Mpaka nahisi labda kakufanyia DAWA...
 
bwege wewe ungekuwa karibu ningekutia mabaz ya uso
 
Hakika wewe umeshinda tuzo ya uzwazwa duniani....
 

Aisee mimi ni mwanamke ila nimesoma kwa hasira sana. Hivi unawezaje kuishi na kiumbe wa aina hiyo, Mimi naanza na wewe acha uboya. Hizo stress zitakuletea magonjwa na utaishia kufa na kumuacha huyo mtoto unayempenda sana. Muache hilo ni bomu, wewe hakikisha una provide mahitaji ya mtoto. Ikiwezekana ondoka waachie nyumba.
 
Mkuu una roho ya pekee sana mwanamke anakutana bado unampa hela hiyo haitoshi anawatukana hadi ndugu zako kweli?
Achana naye kabla hujampoteza au hajakupoteza
Nimeumia sana kusikia kuwa mwanamke anatukana, mkuu pole sana.
 
to be honest wewe jamaa ni zoba(samahani kwa hili neno)ukipeleka hiyo mahari na kumuoa i swear by satan,utajutia for rest of your life.Achana na huyo bitch utakufa kwa presha ndugu
 
Nami nakandamizia hapohapo. Jamaa mleta mada ni poyoyo sana. Amwachie huto binti mtoto wake. Atamtafuta akikua
chukua mtoto wako
achana na hilo jinga pumbavu kabisa unakubaliji kuendeshwa,,
ungekuwa karibu yangu ungekula makofi ya kutosha,,
 
Mrudie Mungu wako na uishi kama mtu wa Mungu anavyotakiwa kuishi, wala usiwashirikishe watumishi wake kuendeleza uzinzi wako, fanya toba na uache uzinzi vingenevyo utakuja kusimulia zaidi.
 
Kama una uhakika na uanaume wako tafuta mwanamke mwingine! Ila kama huna uhakika endelea kulialia kisa mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…