chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Too bad you cant avoid themTrue color of the people so called MEN
kweli nimeshndwa narudia tena nimeshndwa, mimi ni kijana wa 25-30 umri wa kuoa au kuwa na msimamo na mchumba uliye na malengo nae, mwaka 2007 nilimtongoza mdada mmoja wa maeneo ya kwe2 akakubali, 2kapendana kweli kweli, mpaka 2010 mwshoni 2kawa kwenye uhusiano vizuri, sasa ikafikia mahali nausikilizia moyo wangu haswa 2kiwa mbali.
Hivi ni vigezo gani, au aweje mpenz wangu ili niishi nae! Nafsi ikanitajia, kukutana na huyo mpenz wangu nikakuta amevikosa baath na sa hv ni mwez wa 8 teyar nina mdada mwingne mwenye navyo na nimempenda kwel kweli, shda inakuja jins ya kumwacha huyu wa kwanza maana nimekosa ujasiri kwa kweli.
Ni2mie mbinu gan jaman ctaki kuendelea kumpotezea mda na jins 2livyokua close na anavyojiamin kuwa cwez kumtosa maana kuna mahali 2nakopeshana hela etc mmoja we2 akichoka, so nashndwa kuenda direct, pls nisaidien, nimeshakosa nipen msaada bdala ya kunilaumu. am a Man
ndo mana anatakiwa apruni mmoja.Hivi kweli Bia we hujui!
Mlikuwa mnawasiliana mara ngapi kwa siku?
Mlikuwa mnatoka kwenda kweney starehe mara ngapi?
Mlikuwa mnatembeleana mara ngapi?
Kwa taarifa tu ni kuwa anajua ila anasubiri umlipe deni lake. Man kuwa na mademu wawili at a go inataka moyo sio mchezo.
Mpaka afikie hatua hii ya kuliweka hapa jamvini bia keshaamua kum-mwaga.
...jipe miaka mingine miwili na miezi minne utagundua yule wa mwanzo amekidhi "viwango" vyote,
la sivyo,...utajikuta unatafuta wa tatu!...
inshort, hakuna kiwango kinachojitosheleza kwenye mapenzi, kuna makubaliano na kukubaliana na hali tu.
Right there!Men men men!!!It's always like that,wen u reaches time ya kuoa,u left ur old gals...So bad,so painful...
kweli nimeshndwa narudia tena nimeshndwa, mimi ni kijana wa 25-30 umri wa kuoa au kuwa na msimamo na mchumba uliye na malengo nae, mwaka 2007 nilimtongoza mdada mmoja wa maeneo ya kwe2 akakubali, 2kapendana kweli kweli, mpaka 2010 mwshoni 2kawa kwenye uhusiano vizuri, sasa ikafikia mahali nausikilizia moyo wangu haswa 2kiwa mbali.
Hivi ni vigezo gani, au aweje mpenz wangu ili niishi nae! Nafsi ikanitajia, kukutana na huyo mpenz wangu nikakuta amevikosa baath na sa hv ni mwez wa 8 teyar nina mdada mwingne mwenye navyo na nimempenda kwel kweli, shda inakuja jins ya kumwacha huyu wa kwanza maana nimekosa ujasiri kwa kweli.
Ni2mie mbinu gan jaman ctaki kuendelea kumpotezea mda na jins 2livyokua close na anavyojiamin kuwa cwez kumtosa maana kuna mahali 2nakopeshana hela etc mmoja we2 akichoka, so nashndwa kuenda direct, pls nisaidien, nimeshakosa nipen msaada bdala ya kunilaumu. am a Man
Men men men!!!It's always like that,wen u reaches time ya kuoa,u left ur old gals...So bad,so painful..But let her face da truth..Usimpotezee muda.
True color of the people so called MEN
kama uko so determined to break up with her despite everything you have been through together, basi vaa uso wa mbuzi and get straight with her... but be prepared to face the consequences
Ukweli utakuweka huru,the more you hold her,that mpo pamoja,kumbe ushampenda mwingine ni vibaya,mwambie,ataumia,atapona,kuliko at the last days ndo umwambie,anza taratibu mpaka ufikie muafaka wa kumwambia.
The more unavyompa matumaini unampenda,it's bad.
Remember the TRUTH WILL SET YOU FREE.
...jipe miaka mingine miwili na miezi minne utagundua yule wa mwanzo amekidhi "viwango" vyote,
la sivyo,...utajikuta unatafuta wa tatu!...
inshort, hakuna kiwango kinachojitosheleza kwenye mapenzi, kuna makubaliano na kukubaliana na hali tu.
Hivi kweli Bia we hujui!
Mlikuwa mnawasiliana mara ngapi kwa siku?
Mlikuwa mnatoka kwenda kweney starehe mara ngapi?
Mlikuwa mnatembeleana mara ngapi?
Kwa taarifa tu ni kuwa anajua ila anasubiri umlipe deni lake. Man kuwa na mademu wawili at a go inataka moyo sio mchezo.
Men men men!!!It's always like that,wen u reaches time ya kuoa,u left ur old gals...So bad,so painful..But let her face da truth..Usimpotezee muda.
Sababu hizi ndio maana zinafanya mademu nao wamipange kama perege ili wawachune tu
Mpaka afikie hatua hii ya kuliweka hapa jamvini bia keshaamua kum-mwaga.
anachoomba ni modality ya kum-dump sio kupima wa mwanzo na wa sasa.
Ukitaka kumrudia wa mwanzo ongeza mwingine wa-tatu au wa-nne.Umenipa mtihani mgumu cna sasa nikijipa hyo miaka miwili je bdo niendelee nikiwahold wote au?na tamaa yangu ni kuwa na mmoja 2