Umenipa mtihani mgumu cna sasa nikijipa hyo miaka miwili je bdo niendelee nikiwahold wote au?na tamaa yangu ni kuwa na mmoja 2
i wish God angeumba wanaume tu, kisha wakawekewa K kwenye mapaja yao basi.
kusingekuweko haya ya kupotezeana muda wala kuchokana, anayo imemganda kwenye paja akiichoka anaifunika kwa muda kisha atairudia mana hana pa kuipata pengine, hawezi kwenda kufunuwa kwenye paja la mwenzake loh!
we mwambie tu kwani alizaliwa kwa ajili yako? wanaume si wamejaa tele kila siku wanazaliwa, atapata mwengine wa kukuzidi wewe aendelee na maisha vizuri tu na atakusahau for ever.:embarassed2:
Duh.. real no real Love nowdays, ... inauma sana tena sana... ial u have to tell her the truth... Kama yupo mbali anza kumbunguza mawasiliano na yy kama ni muelewa atagundua kuwa mapenzi yamepunguaso itakuwa rahisi wewe kumwambia ukweli na atakuelewa tu.Ila sio vizuri kuendelea kumpotezea muda.All the best.
Tandika kimoja halafu jidai umechoka mbaya ndio iwe desturi atajishtukia mwenyewe.Utaona uhusiano utakavyoanza kuwa
U are real a bad guy and i curse u til the day of judgment..eimen!
Baadae atarudi amepata watatu mwenye vigezo vyote na nusu anaomba ushauri wa jinsi ya kumuacha wa pili! Yeye anajua kuwatongoza tu kuwaacha mpaka ashauriwe Jf. Amwache tu huyo bint aendelee na maisha yake na nakuombea huyo wa2 aje akutende mpaka ujute. Mkataa pema........Looh
tyaani wewe time waster wa kichizi, afterall these years sasa hivi ndio
umejua kama hana vigezo. Halafu, unahakika gani kama huyu mpya ndio ana
sifa stahiki. Aloo, mimi nasema, mwambie tuu, habari hii siyo ya
kuzungumza kwenye simu, kuwa jasiri, atalia atacheka at the end of the
day atakufahamu.
Na ndivyo itakavyokuwa maana mwosha huoshwa. Acha akafunzwe jinsi ya kuheshimu hisia za watu.[FONT=comic
sans ms]Ila umempotezea muda sana mtoto wa watu, hivyo angalia sana
usije kuingia choo cha kike, yaani huyo umdhaniaye ndiye kumbe siye
ukawa umeruka maji na kukanyaga moto.
[/FONT]
Dada najua umeumia as atakavyo umia,lakin pia mie naumia kwel,ila ndo hvyo dada angu dunia ina mitihan ming huu kwangu ni mgumu ila nitaufanya,matokeo siyajui
Dada najua umeumia as atakavyo umia,lakin pia mie naumia kwel,ila ndo hvyo dada angu dunia ina mitihan ming huu kwangu ni mgumu ila nitaufanya,matokeo siyajui
ushammega nini sasa unataka kumtosa mtoto wa watu? wanaume bwana, longolongo nyiiingi wakishatimiza malengo yao... vigezo ndio umevigundua leo, 4-5 years into the relationship?
Nashanga! limekaa kwa dada wa watu muda wote huo leo ndo anajisemea eti hana vigezo.....mijanaume ya namna hii ndo ile ile hata haijitambua ktk maisha yao ni kazi!!
kweli nimeshndwa narudia tena nimeshndwa, mimi ni kijana wa 25-30 umri wa kuoa au kuwa na msimamo na mchumba uliye na malengo nae, mwaka 2007 nilimtongoza mdada mmoja wa maeneo ya kwe2 akakubali, 2kapendana kweli kweli, mpaka 2010 mwshoni 2kawa kwenye uhusiano vizuri, sasa ikafikia mahali nausikilizia moyo wangu haswa 2kiwa mbali.
Hivi ni vigezo gani, au aweje mpenz wangu ili niishi nae! Nafsi ikanitajia, kukutana na huyo mpenz wangu nikakuta amevikosa baath na sa hv ni mwez wa 8 teyar nina mdada mwingne mwenye navyo na nimempenda kwel kweli, shda inakuja jins ya kumwacha huyu wa kwanza maana nimekosa ujasiri kwa kweli.
Ni2mie mbinu gan jaman ctaki kuendelea kumpotezea mda na jins 2livyokua close na anavyojiamin kuwa cwez kumtosa maana kuna mahali 2nakopeshana hela etc mmoja we2 akichoka, so nashndwa kuenda direct, pls nisaidien, nimeshakosa nipen msaada bdala ya kunilaumu. am a Man
dah, akina dada na nyinyi mna mitihani kwa kweli... hivi mtu akishakutenda hivi unaweza ukawa na mapenzi na mtu mwingine kweli au ndio inakuwa mambo ya kulipiza kisasi kwa yeyote anayejipendekeza?