M Msafiri Duke Member Joined Oct 27, 2011 Posts 20 Reaction score 5 Feb 9, 2012 #1 Karafuu ina umuhimu au madhara gani ikitumika kwa kuitafuna na kumeza. Watalam naombeni ufafanuzi.
mgodi JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 2,780 Reaction score 1,847 Feb 9, 2012 #2 Madokta wapo wengi ngoja tuwasubiri, naimani mzizimkavu ni mmoja wapo atakuja muda si mrefu.
doctorz JF-Expert Member Joined Aug 10, 2010 Posts 916 Reaction score 228 Feb 9, 2012 #3 Mdomoni karafuu yaweza kutumika kama mild antiseptic na deodoriser. Tumboni kama ni kidogo haina madhara isipokuwa kwenye mafigo. Kama una mazoea ya kila siku waweza kupata matatizo ya vijiwe kwenye mafigo.
Mdomoni karafuu yaweza kutumika kama mild antiseptic na deodoriser. Tumboni kama ni kidogo haina madhara isipokuwa kwenye mafigo. Kama una mazoea ya kila siku waweza kupata matatizo ya vijiwe kwenye mafigo.
L Leovin New Member Joined Jul 29, 2012 Posts 1 Reaction score 0 Aug 2, 2012 #4 matumizi ya kila siku kwa kiwango gani? hata kama ni kidogo tu yaweza kuleta madhara?