Yaan kama hatuna cha maana tusichangie! Kwa hiyo hichi cha kununua kazi umeona ndo cha maana! Safari bado ndefu sana aisee! Kha!
Kama upo tayari kuangusha vazi lako mbona fasta tu.
Duh....pole sana kumbe wewe ulidondosha vazi kupata hapo ulipo. Mi nataka nitumie jeuli ya pesa
inawezekana mtoa thread hiyo degree yake niya chup....,kwahiyo hawezi kufurukuta kwenye soko la ajira,kama anaweza kuhonga pesa kupata kazi ,basi atakuhonga vitu vingine sio shida kwake
hiyo mil 1 kwanini ucfanye ka-ujasiliamali mkuu?.
kwa hiyo milioni moja kazi udom unapata mimi na ushahidi zaidi ya watu 3 wazazi wao walitoa milioni na kazi wakapata
hao wazazi akili za sitimamu,yaani wamsomeshe mtoto,kazi wamnunulie mwisho wataenda ofisini kumfanyia kazi!
Duh....pole sana kumbe wewe ulidondosha vazi kupata hapo ulipo. Mi nataka nitumie jeuli ya pesa
pole kwa mawazo yako mgando!unaish TZ au dunia gani wewe?
kibongo bongo siku hizi kupata kazi utasanda kama huna reffa, godfather au ndio vile wakati mwingine unaambiwa live "nyoosha mkono" ili upate kazi!
na sio kwamba watu wana vyeti vibovu au vipi system ndio imeshaharibika so inabidi na wewe uendane nayo hivyohivyo ili na wewe ufit nayo!
na bora huyo anayetoa mlungula ili apate kazi kuliko yule anayekwenda kwa sangoma apate ajira!
Hajasema hata elimu yake huenda hata ni level ya kina mwaanasha
pole kwa mawazo yako mgando!
in life you can not understand a certain situation until you come across it in a life time,
the same situation ever happened to me, i performed well the interview but was called in a chamber and some one told me if i want a job i must give something!
after struggling hard looking for a job , what would you do if were you?
Kuna million 1 kwa atakae fanikisha nipate post pale udom, kazi ninayo ila nataka sana hizo post ni PM kwa mawasiliano zaidi.
NB:- Naomba usichangie kama huna cha msingi cha kuongea
asante mkuu tunashare concerpt, kuna wangapi waliosoma sasa na wengi sana tuna kila kigezo cha kupata kazi unathani katika watu 2000 utakosa watu 50 wenye vigezo na unapataje wa2 10 wakuwaajiri? Wakati mwingine haya mambo ni muhimu ingawa c halali