Nina 85 milioni nahitaji kuanzisha kampuni ya music video production,changamoto ni zipi na bajeti hii kwa kuanzia inatosha?

Nina 85 milioni nahitaji kuanzisha kampuni ya music video production,changamoto ni zipi na bajeti hii kwa kuanzia inatosha?

venance7

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2019
Posts
558
Reaction score
1,645
Music video production ni moja ya plan zangu nilizopanga kuanzisha ndani ya mwaka huu,hadi sasa bajeti yangu ni hiyo milioni 85,hapo nyuma niliwahi kuwa na studio ndogo ya kushoot matukio kama harusi na graduation mbalimbali,hiyo pesa nimetoa ktk vyanzo vingine vya mapato, naomba kujua A_Z ya hiki kitu, changamoto na faida na Mambo ya kuzingatia.Karibuni
 
Vizur, bora ungewatafuta wakongwe wa mambo hayo uso kwa uso, Adam juma, hanskana, madam lita, etc, wakakueleza changamoto zake, ila ujue kunakujitolea kwa wasanii nishut bure, nimekwama ela pungufu, mpaka Faida kurud kazi kweli, fanya kama unajitolea Faida baadaye, kama utafungua hiyo kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kaonane na wazoefu, hapa wengi watakujibu kwa masihara

to me hilo in wazo zuri la kijasiriamali na hata ukipata changamoto usisite just keep it up👊👊
 
Mkuu kwanini usianzishe Online Entertainment Media.

Maana binafsi sioni kama Music Video Production inalipa.

Maana ni kazi inayotegemea sana Networking, Advanced Devices na Utaalamu binafsi wa Director.

Ndio maana John Kallage, Nisher, Adam Juma wote hawako sokoni.

Na sasa Video Director wanashindana Africa nzima.

So Jiandae Kupambana Na Kina CLARENCE PETERS, GODFATHER, NICK, DIRECTOR Q n.k

Na siku hizi wasanii wameanza kufungua kampuni zao za Video Productions. Ni Challenge nyingine pia
 
Mkuu kwanini usianzishe Electronic Entertainment Media.

Maana binafsi sioni kama Music Video Production inalipa.

Maana ni kazi inayotegemea sana Networking, Advanced Devices na Utaalamu binafsi wa Director.

Ndio maana John Kallage, Nisher, Adam Juma wote hawako sokoni.

Na sasa Video Director wanashindana Africa nzima.

So Jiandae Kupambana Na Kina CLARENCE PETERS, GODFATHER, NICK, DIRECTOR Q n.k

Na siku hizi wasanii wameanza kufungua kampuni zao za Video Productions. Ni Challenge nyingine pia
Nashukuru mkuu kwa mawazo
 
Music video production ni moja ya plan zangu nilizopanga kuanzisha ndani ya mwaka huu,hadi sasa bajeti yangu ni hiyo milioni 85,hapo nyuma niliwahi kuwa na studio ndogo ya kushoot matukio kama harusi na graduation mbalimbali,hiyo pesa nimetoa ktk vyanzo vingine vya mapato, naomba kujua A_Z ya hiki kitu, changamoto na faida na Mambo ya kuzingatia.Karibuni
Walah huna hii hela uliyosema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Music video production ni moja ya plan zangu nilizopanga kuanzisha ndani ya mwaka huu,hadi sasa bajeti yangu ni hiyo milioni 85,hapo nyuma niliwahi kuwa na studio ndogo ya kushoot matukio kama harusi na graduation mbalimbali,hiyo pesa nimetoa ktk vyanzo vingine vya mapato, naomba kujua A_Z ya hiki kitu, changamoto na faida na Mambo ya kuzingatia.Karibuni

Mkuu mbona CDM wamesema hakuna pesa mtaani wewe umetoa wapi!?[emoji851][emoji851]


Sent using IPhone X
 
Ukiongeza kidogo unaeza ukaanzisha radio station.
Itakufaa kuliko hii music production.
 
Hakikisha umezikamata TV station zote, hakikisha unapenyeza rushwa ya maana. huko mahala maana bila hivyo hata kazi zako ziwe nzuri vipi airtime itakua ndogo hivyo wasanii watakukimbia mapema sana maana wakishut na wewe ni sawa na hakuna, Usione kila station kila saa inapiga kazi zilizofanywa na hanscana ukadhani labda jamaa ni mkali sanaaaaaaaaa. La hasha jamaa anakula na media ndo maana kazi za mikono yake zinaenda sana, sasa wewe ukishamaliza kufanya halafu kazi ya kusambaza umpe msanii basi kifo chako cha mende kipo karibu sana.

Ushauri wangu, kwa kuwa hapo juu umesema uliwahi kufanya kazi ndogo ndogo za sherehe, basi nakushauri ukomae na hizo za sherehe, harusi zina hela mkuu, wewe cha kufanya kwa hiyo pesa yako fungua kampuni halafu uigawe mara mbili so hata kazi zikizidi unakua na uwezo wa kuzifanya.
 
Soko linahitaji director mzuri kuliko vifaa vikali vya hela nyingi..

Kina hanscana wana kodi vifaa tu wakipata mteja na wanapata faida bila kuwekeza hela nyingi.. wao wamewekeza kwenye skills za kushoot tu na ku edit vizuri...hawama haja ya ma camera wala jengo la studio maana yapo ya kukodi kibao
 
Radio station kwa hela hiyo mkuu?
😁😁
Kuna uzi flan ulichanganua kila kitu japo kwa pesa hiyo haitoshi..
Nimejaribu kufukunyua naona browser haikubali ku search.
 
Back
Top Bottom